2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

3 World Cup trophies won by ArgentFIFA
View attachment 3620630
Nikikumbuka fainal ya 2022 ufaransa alipewa penalty mbili za uongo nashangaa unavoikandia Argentina

dkk 30 za nyongeza Argentina akiwa anaongoza kwa goal 3-2 dhidi ya ufaransa
mchezaji wa ufaransa alinifanya rafu mbaya Messi akachukua mpira messi akaanguka chini ikaenda kuzaa goal la kusawazisha

sidhan km Messi alishawah kubebwa uwanjani tofaut na unavo display humu

be sportsman
 
Yaani Ureno inastruggle kwa Crotia hii daah.
Ulivyomaliza kwa "daah" ni kama hili ni tukio geni kwako hujawahi kuliona popote pale.
Screenshot_20260703-095703.png
 
Nikikumbuka fainal ya 2022 ufaransa alipewa penalty mbili za uongo nashangaa unavoikandia Argentina

dkk 30 za nyongeza Argentina akiwa anaongoza kwa goal 3-2 dhidi ya ufaransa
mchezaji wa ufaransa alinifanya rafu mbaya Messi akachukua mpira messi akaanguka chini ikaenda kuzaa goal la kusawazisha

sidhan km Messi alishawah kubebwa uwanjani tofaut na unavo display humu

be sportsman
Kuhusu 2022 World Cup, hii tunaweza kuzungumza mengi sana ambayo kama wewe ni shabiki wa Messi na Argentina usingependa kukumbushwa namna mlivyobebwa.
 
Ulivyomaliza kwa "daah" ni kama hili ni tukio geni kwako hujawahi kuliona popote pale.View attachment 3621099
So kwa sababu Spain alistrugle basi Ureno nayo inastruggle? Hivi unaijua Crotia vizuri, tunayo ijua sisi? au mpira umeanza kutizama juzi? Unaviungo watatu bora Ulaya (Neves,Pedri, Bruno) bado unastrugle, wewe unazani Crotia angekuwa Ivan Ractic,Kramaric na striker Mario jana Ureno alikuwa hawachomoki.
 
So kwa sababu Spain alistrugle basi Ureno nayo inastruggle? Hivi unaijua Crotia vizuri, tunayo ijua sisi? au mpira umeanza kutizama juzi? Unaviungo watatu bora Ulaya (Neves,Pedri, Bruno) bado unastrugle, wewe unazani Crotia angekuwa Ivan Ractic na striker Mario jana Ureno alikuwa hawachomoki.
Croatia na Cape Verde nani mkubwa?
 
🗣️ Zlatan Ibrahimović on Fox Sports:

They overturned Cristiano's 3 match suspension. They didn't send off 2 Portugal players against DR Congo for Red card offense.

Few days ago They disallowed a legitimate Colombia winning goal and now they disallowed a Croatia's goal that could have won them the match.

Why is FIFA giving Cristiano Ronaldo and Portugal so much favoritism?
 
Hujui maana ya ukubwa sio kosa lako, hata mimi sina mda wa kukujibu na ndio maana nilitaka unijibu kupitia maswali.
Ushasema hujui basi chill, we can't go further.

Siwezi kukulaumu tena kui undermine Ureno kwa mechi ya usiku, wakati mechi ya Spain na Cape Verde hukuangalia na hujui vigezo vinavyotumika kupima ubora.
 
Ushasema hujui basi chill, we can't go further.

Siwezi kukulaumu tena kui undermine Ureno kwa mechi ya usiku, wakati mechi ya Spain na Cape Verde hukuangalia na hujui vigezo vinavyotumika kupima ubora.
Wewe si umeanza kusema hauna mda kunijibu? Sasa mda wa kuandika paragraph mbili umeutoa wapi.

Kwani wewe ni ukubwa unalipima kwa vigezo vipi? Maana maada umeianzisha wewe.
 
Wewe si umeanza kusema hauna mda kunijibu? Sasa mda wa kuandika paragraph mbili umeutoa wapi.

Kwani wewe ni ukubwa unalipima kwa vigezo vipi? Maana maada umeianzisha wewe.
So, hata nilivyoandika vile kumbe hukuelewa muktadha wa nilichoakiandika?

Nilikujibu sina muda wa kuupoteza kukuelezea hoja ya factors za kutambua timu kubwa kwa kile ulichokiri kuwa huna uelewa nacho.

Lile jibu halikumaanisha kwamba sita-reply tena post yako au kukukosoa sehemu nyingine ambayo naiona haiko sawa.
 
Back
Top Bottom