2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Ni ngumu sana Portugal kuchukua kombe kwa performance yao.

Hii inakuja ukiziangalia timu zingine ambazo ni hatarishi kama France.

Kufikiria kwamba Portugal atam outperform France sio rahisi.
Kuna post nimekasoma humu kuhusu muda ,nafasi na sintofaham katika mpira kukinzana na mlengo wa kisayansi kama data za uwanjani katika kuamua matokeo uwanjan.

Nikirejea mechi ambazo waliowaka kupoteza bd na baki na CR7.
 
Bei za tiketi zilivyokuwa mchezo wa jana

Portugal vs Croatia, tunaomba mziweke kwa hela za madafu
IMG_0740.jpeg
 
So, hata nilivyoandika vile kumbe hukuelewa muktadha wa nilichoakiandika?

Nilikujibu sina muda wa kuupoteza kukuelezea hoja ya factors za kutambua timu kubwa kwa kile ulichokiri kuwa huna uelewa nacho.

Lile jibu halikumaanisha kwamba sita-reply tena post yako au kukukosoa sehemu nyingine ambayo naiona haiko sawa.
Sina uwelewa nancho mimi au wewe? Unaintroduce kitu hujui kukielezea.
 
Mm napenda ball
sio shabiki wa mtu

Argentina alibebwa tukio gani
Okay twende taratibu.

Nataka hapa tufanye reasoning huku tukirejea baadhi ya sheria za mpira ili tuone kama hoja ya kwamba Argentina alibebwa ina mashiko au la.

Kuna sheria inaitwa "Denying a goal or an obvious goal-scoring opportunity (DOGSO)"

Sheria hii inazungumzia faulo iliyochezwa dhidi ya mpinzani aliyekuwa katika nafasi ya kufunga goli. Sheria hii mara nyingi huwa inapimwa zaidi pale ambapo beki anakuwa ni mtu wa mwisho.

Adhabu ya kosa hili ni kadi nyekundu.

Na reference ya karibu, ni kwenye mechi ya Mexico Vs South Africa.

Sithole anatolewa nje kwa kadi nyekundu.


Sio tukio hilo peke yake lililoamuliwa kwa red card.

Mechi kati ya Iraq na Senegal, mchezaji wa Iraq anayeitwa Rebin Sulaka alitolewa kwa kadi nyekundu kwa kosa hilo hilo nililoweka kifungu chake hapo juu.



Mechi kati ya Belgium Vs Iran, mchezaji wa ubelgiji Nathan Ngoy alitolewa nje kwa kadi nyekundu.



Sasa kwanini nimekuonesha hizo clips zinazozungumzia faulo moja?

World Cup ya 2022 kwenye final kulikuwa na tukio kama hili.

Hapa ni mchezaji wa Argentina Nicolaus Otamend akimchezea faulo Kolo Muani kwenye penalty box
1783088387657.png


Unaweza kuangalia hii clip kwa kujiridhisha zaidi



Hiyo ni faulo ambayo iliamuliwa kwa mkwaju wa penati lakini hakuna kadi nyekundu iliyotolewa kwa Otamend licha ya kwamba yeye ndio alikuwa mtu wa mwisho na hakugusa mpira alimgonga Kolo Muani na goti lake.

Argentina wangekuwa down kwa 10 against 11 hii ilikuwa ni advantage wa France na pengine ingeweza kabisa kubadilisha momentum ya mechi.

Hiyo ni incident moja tu, ila zipo nyingi na references zake zipo. Nataka unipe maoni yako wewe unayesema huna mapenzi na timu yeyote ila unapenda mpira kama maamuzi yaliyotolewa hapo yalikuwa ni sahihi kutompa Otamend kadi nyekundu au hayakuwa sahihi.
 
Back
Top Bottom