2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Shida yangu napenda kua attached sana na kitu ninachokipenda. Hua sifeki kupenda kitu, nikipenda nakipenda fully and whole.

Kifo cha huyu bwana mdogo hapo chini kilinifanya nitumie dozi. Niliumwa kabisa kama nimefiwa na mtu wa karibu kumbe ni Fictional character na ni kifo cha kwenye Series tu.
Tatizo ni mimi kua attached.

[Glenn Rhee from Walking Dead]
View attachment 3621454
Daah! Pole sana.
 
Sasa wewe unashimdwa kukielewa hata kila unacho kianzisha na sizani utanielewa na sihitaji unielewa.
Rejea post yangu uliyo quote, kisha soma tena hiki ulichokiandika halafu unipe sababu kwanini nisi-doubt uelewa wako.
 
People are going crazy when they see the real G



Hawa wote hawa wako hapo kwa mapenzi yao

Still wonder, how the hell João Neves had the nerve to say Cristiano Ronaldo is "just another player here to help


Can you relate?
espndeportes_20260703_175823_845.jpg
 
Okay twende taratibu.

Nataka hapa tufanye reasoning huku tukirejea baadhi ya sheria za mpira ili tuone kama hoja ya kwamba Argentina alibebwa ina mashiko au la.

Kuna sheria inaitwa "Denying a goal or an obvious goal-scoring opportunity (DOGSO)"

Sheria hii inazungumzia faulo iliyochezwa dhidi ya mpinzani aliyekuwa katika nafasi ya kufunga goli. Sheria hii mara nyingi huwa inapimwa zaidi pale ambapo beki anakuwa ni mtu wa mwisho.

Adhabu ya kosa hili ni kadi nyekundu.

Na reference ya karibu, ni kwenye mechi ya Mexico Vs South Africa.

Sithole anatolewa nje kwa kadi nyekundu.
View attachment 3621421

Sio tukio hilo peke yake lililoamuliwa kwa red card.

Mechi kati ya Iraq na Senegal, mchezaji wa Iraq anayeitwa Rebin Sulaka alitolewa kwa kadi nyekundu kwa kosa hilo hilo nililoweka kifungu chake hapo juu.

View attachment 3621425

Mechi kati ya Belgium Vs Iran, mchezaji wa ubelgiji Nathan Ngoy alitolewa nje kwa kadi nyekundu.

View attachment 3621429

Sasa kwanini nimekuonesha hizo clips zinazozungumzia faulo moja?

World Cup ya 2022 kwenye final kulikuwa na tukio kama hili.

Hapa ni mchezaji wa Argentina Nicolaus Otamend akimchezea faulo Kolo Muani kwenye penalty box
View attachment 3621432

Unaweza kuangalia hii clip kwa kujiridhisha zaidi

View attachment 3621434

Hiyo ni faulo ambayo iliamuliwa kwa mkwaju wa penati lakini hakuna kadi nyekundu iliyotolewa kwa Otamend licha ya kwamba yeye ndio alikuwa mtu wa mwisho na hakugusa mpira alimgonga Kolo Muani na goti lake.

Argentina wangekuwa down kwa 10 against 11 hii ilikuwa ni advantage wa France na pengine ingeweza kabisa kubadilisha momentum ya mechi.

Hiyo ni incident moja tu, ila zipo nyingi na references zake zipo. Nataka unipe maoni yako wewe unayesema huna mapenzi na timu yeyote ila unapenda mpira kama maamuzi yaliyotolewa hapo yalikuwa ni sahihi kutompa Otamend kadi nyekundu au hayakuwa sahihi.
Kabla ya Hilo tukio Kuna mido km sikoa touchmen wa ufaransa alimfanyia madhambi Messi katikat ya uwanja ikapigwa pasi ikamfikia kolo muan

messi alisukumwa na akapigwa kiatu akaanguka refar akameza filimbi
 
Ndio maana nikakwambia ukiwa wewe mwenyewe huelewi, unavyo vianzisha mimi ndio utanielewa, ndio maana sihitaji unielewe.
View attachment 3621492
Imenibidi tu nicheke maana mwanzo nilijua unafanya makusudi.

Post niliyokuambia uirejee ni hii
1783095280980.png

Lengo lilikuwa ni kukumbusha kusoma na kutambua kilichoandika kimegusa nini.

Maana hapo nilikuwa nimefanya criticism kupima umakini wako wa uelewa.

Then ukaja kurudia kosa lile lile. Kikawaida ungekuwa umenielewa usingethubutu kurudia hizi errors.
1783095448546.png


Hii imenifanya nione kama hufanyi makusudi kama ambavyo nilikuwa nafikiria. At this point hatuwezi kuelewana prolly una mambo mengi yana spin kichwani.
 
Back
Top Bottom