Mpaka wewe umesema hivi basi sina haja ya kuangalia hiyo incident.Beki kabisa wa taifa la mpila unaenda mkumbatia mtu ndani ya boksi miaka ya VAR😢😢😢
Umeanza kuwa na mashaka na mbuzi wenu, penalty ni halali kabisa.Penalty hiyo jamaa kafunga sijajua imekuwaje nitafuatilia asubuhi.
Kama penalti ya kubebwa nitasema bila bias.
😁😁😁Mpaka wewe umesema hivi basi sina haja ya kuangalia hiyo incident.
Bila shaka ni penati halali.
Leao katoa bonge la Assist.Ila anazingua sanaUreno wamejaza watoto wengi naona utoto utoto tu humu wakiongozwa na Leao.