SMART PASSENGER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 1,210
- 1,722
Najua wengi mnaifikiria Ghana ila niwambie mapema Tu Ghana hakuna timu pale,NI Bora tubaki na Morocco peke yake,cape Verde tunawaamini ila tatizo wamepewa mfupa mgumu Sana kuutafuna
Wajinga tuHarry Kane alirogwa vbaya mno nlibaki nacheka tu ile game 😂😂😂😂, watu Wana focus na game,sisi tuna focus na uchawi 😂😂😂,
Tujikite na morocoNajua wengi mnaifikiria Ghana ila niwambie mapema Tu Ghana hakuna timu pale,NI Bora tubaki na Morocco peke yake,cape Verde tunawaamini ila tatizo wamepewa mfupa mgumu Sana kuutafuna
Morroco sio waafrika , timu zote za bara la giza zimeshatokaNajua wengi mnaifikiria Ghana ila niwambie mapema Tu Ghana hakuna timu pale,NI Bora tubaki na Morocco peke yake,cape Verde tunawaamini ila tatizo wamepewa mfupa mgumu Sana kuutafuna
🙏🙏Hongera sana
Uliona mbali , Mimi kwa mara ya kwanza sikuwa na vibe ya kutazama mechi za ngozi nyeusi nijalala asubuhi ndio naulizia matokeo naona tumekandwa.Ukiwa hujaangalia mechi za waafrika waliotolewa unaweza kudhani Senegal anafanya kitu kipya ambacho wenzake hawakukifanya.
Aisee! Aliyeturoga Waafrika Mungu anamuona. 😒Wengine hao