Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 6,544
- 9,039
Style ileile ya Ivory Coast. Badala ya kuforce katikati wanatafuta goli la kitabuni. Wanafika kwenye box wanapiga back pass, aagh
Bora hata ushabikie wanawake wakicheza rede angalau utaona chupi.Daaah aiseee sitaki stress tena weusi wana shida
Ulitaka afanye nini labda Mkuu?Yeye ni striker, sio kipa. Kwahiyo kufunga sio kitu cha ajabu. Angedaka hapo ndio ungekuwa mjadala. Hata Sarr kafunga, Diarra kafunga, Tielemans kafunga.
Ila bado Lukaku kwa sasa sioni kama ni mchezaji tishio akikutana na team zisizo za third world countries.
Ulitaka afanye nini labda MkuuYeye ni striker, sio kipa. Kwahiyo kufunga sio kitu cha ajabu. Angedaka hapo ndio ungekuwa mjadala. Hata Sarr kafunga, Diarra kafunga, Tielemans kafunga.
Ila bado Lukaku kwa sasa sioni kama ni mchezaji tishio akikutana na team zisizo za third world countries.
Unataka mtu aachwe sababu ameanza kucheza we ukiwa shule...?Huyu Diatta si ndio alitufunga akiwa timu ya vijana. Alipiga bonge la shuti, wabongo wakamsema alivyo mweusi sana. Leo yuko anakichafua WC, sisi vijana wetu akina Kelvin John huwa wanaishia wapi sijui. Timu ya taifa ina Himid Mao tangu nipo shule ya msingi anachezea national team. Hadi leo 😂
😅😅😅 mbona unanipoza machunguBora hata ushabikie wanawake wakicheza rede angalau utaona chupi.
DRC, Ivory coast, Senegal wote akili zao sawaStyle ileile ya Ivory Coast. Badala ya kuforce katikati wanatafuta goli la kitabuni. Wanafika kwenye box wanapiga back pass, aagh
Hilo ndilo tatizo namba moja. Ndio maana unaweza kumuona mtu at 40 ni milionea halafu at 50 ni ombaomba.Muafrika anaridhika na mafanikio kabla ya mda
Sijakataa ila mimi niliangalia Current form ya Ubelgiji kwani still bado ni wabovu.Nilikwambia usirogwe hata siku Moja kuamini timu za Afrika miili mikubwa akili kisoda.
😂😂😂 AngaliaYanii aisee siangalii tena mechi
Tupo tofauti sanaHilo ndilo tatizo namba moja. Ndio maana unaweza kumuona mtu at 40 ni milionea halafu at 50 ni ombaomba.
Acheze mpaka alipwe pension. I don't give a ***.Unataka mtu aachwe sababu ameanza kucheza we ukiwa shule...?
Wewe ulitaka afanyeje. Maana unashangaa striker kufunga. Mimi sioni ajabu yeyote striker kupewa mpira amebaki na goli then akafunga.Ulitaka afanye nini labda Mkuu
Wasije tu kutupotezea muda waende mpk kwenye penalties, afungwe Mtu mapema wamalize mpiraMechi itaisha,
Belgium 4
Senegal 2
Sijakataa ila mimi niliangalia Current form ya Ubelgiji kwani still bado ni wabovu.
Ah coulibally wa napoli balaaa ata ile timu ye yewe ilikuwa noma sanaaa.....mertens calejon insigne zielinski hamseck jorginho balaaa huku bwana sarri anavuta fegi yake...ile timu ilikuwa inapiga mpira full burudani. Sarri ball ile sitaisahauHilo beki lilikuwa la Moto Napoli tu basi itakuwa limedanganya umri lipo 47