2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Huyu Diatta si ndio alitufunga akiwa timu ya vijana. Alipiga bonge la shuti, wabongo wakamsema alivyo mweusi sana. Leo yuko anakichafua WC, sisi vijana wetu akina Kelvin John huwa wanaishia wapi sijui. Timu ya taifa ina Himid Mao tangu nipo shule ya msingi anachezea national team. Hadi leo 😂
 
Huyu Diatta si ndio alitufunga akiwa timu ya vijana. Alipiga bonge la shuti, wabongo wakamsema alivyo mweusi sana. Leo yuko anakichafua WC, sisi vijana wetu akina Kelvin John huwa wanaishia wapi sijui. Timu ya taifa ina Himid Mao tangu nipo shule ya msingi anachezea national team. Hadi leo 😂
Huyo huyo
 
Back
Top Bottom