herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 2,303
- 3,987
😁😁😁karudi kulea mtoto wake kapumbavu haka
Kuna Ubelgiji,wahuni wenzao ni Turkey,Greece hawa huwa wanatuumizaga sana nyakati kama hizi..za mtuano..Hivi wana historia gan kwenye hii michuano maana naona hawafikagi mbali
Mabadiliko tabia ya nchi😀😀Kocha wa belgium anaandika nini sijui. Mzigo ushakuwa mzito.
Jamvi la GGKocha wa Ubelgiji anaandika insha ndefu. Ni kama kocha wa Japan alivyokuwa.
Ugiriki ndio washapotea kabisaKuna Ubelgiji,wahuni wenzao ni Turkey,Greece hawa huwa wanatuumizaga sana nyakati kama hizi..za mtuano..
Rejea 2002 kuna viatu vilitembeaga kwa hawa Senegal baada ya kuitoa France😀
Hiyo ilikuwa ndio tunakutana nao roho mbaya mbaya mnoUgiriki ndio washapotea kabisa
Senegal washaanza kufurahia mafanikio, kilio kitakuja sasa hivi. Tahamaki 2-2 then penalty nje, Afrika ni wa kuonewa huruma sana.Tunawagonga kingine
Huyo kijana hata ulaya kafika kiuchawi tu, hana mpila wowoteMkuu akiamka vizuri utampenda,ila siku za hivi karibuni ameshuka
Ilhan Mansiz huyo bwana wa Turkey..dakika za nyongeza.😀😀😀 Senegal anakalia chumaUgiriki ndio washapotea kabisa
Unakalili maishaSenegal washaanza kufurahia mafanikio, kilio kitakuja sasa hivi. Tahamaki 2-2 then penalty nje, Afrika ni wa kuonewa huruma sana.
Hivi huyo hakua Czech republic?Ilhan Mansiz huyo bwana wa Turkey..dakika za nyongeza.😀😀😀 Senegal anakalia chuma
Wakaze Mkuu..mpira si wa shangazi yetu huu..hawa watu hawaeleweki aiseeUnakalili maisha
Germany kwa kiasi huyo jamaaHivi huyo hakua Czech republic?
Kitambo sanaGermany kwa kiasi huyo jamaa
Huyo huyoHuyu Diatta si ndio alitufunga akiwa timu ya vijana. Alipiga bonge la shuti, wabongo wakamsema alivyo mweusi sana. Leo yuko anakichafua WC, sisi vijana wetu akina Kelvin John huwa wanaishia wapi sijui. Timu ya taifa ina Himid Mao tangu nipo shule ya msingi anachezea national team. Hadi leo 😂