adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 4,581
- 7,751
Daah
Najua hiyo "si" imekuchanganya🤣Ni mwekundu sio?..
Mabeberu wanatamba tena .Pumbav, nimezima Tv kabisa
Mkuu wewe si umefurahiWafunguke wapigwe cha 3
😂😂😂Pumbav, nimezima Tv kabisa
Mimi nafuatilia mechi hapa tu,kuwaangalia hao Congo ni matumizi mabaya ya macho.Pumbav, nimezima Tv kabisa
Duh!.. mabeberu watatufunga hivi mpaka lini?...Mabeki wamechoka sana. Timu za Afrika ukiwa unabeti wewe weka kuanzia dakika ya 85 zifungwe.
Mmeona O'Reilly kacheza since mechi ianze ila anamzidi Elia aliyeingia kipindi cha pili. Waafrika wana fitness ndogo.
Pumzi tatizoMabeki wamechoka sana. Timu za Afrika ukiwa unabeti wewe weka kuanzia dakika ya 85 zifungwe.
Mmeona O'Reilly kacheza since mechi ianze ila anamzidi Elia aliyeingia kipindi cha pili. Waafrika wana fitness ndogo.
Ndo hivyo waafrika hususani hawa wanaopakana na Bongo sio wa kuwategemeaHapana kwa kweli.
Nilitamani wasogee DRC nibaki na Norway na Croatia
Maamuzi mabaya ya kocha...mayele alitakiwa ingia mapemaaaaSubiri kidogo tu utaona maamuzi ya ajabu ya Refa.
Mimi nilivyoona mechi za hatua za makundi nilikata tamaa na timu za ngozi nyeusi kutoka Afrika sababu ni kukosa magoli kipuuzi na mentality ya kudefense hata kama timu unaiwezaHeheee si umeona walivyofungwa kizembe…..
Football IQ ya Waafrika ni ndogo sana.
Hapo kwa nini walimwacha Harry Kane peke yake? Huyo inapaswa awe double teamed muda wote.
Wanatolewa leo 😀
Wameshazoea mpira wa kupoteza muda hapa refa anawahesabia ddqMimi nafuatilia mechi hapa tu,kuwaangalia hao Congo ni matumizi mabaya ya macho.