Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,386
- 110,090
Pole sana kumbe ww shabiki wa amad, nilikua naiona IC ikifika mbali ila daah wachezaji wapumbafu. Natamani Senegal ashinnde ila nitaangalia bila matarajio yoyote kama ilivyo kwenye mechi hiiAah! Mi nilikuzidi hadi nikajuta kukaa macho bora ningelala zangu. Japo leo mecho ya Senegal saa tato nitaangalia pia sitaacha.
Kabisa usemacho na kwa goli hizi moja moja hadi mpira uishe ndo tunakuwa tumejihakikishia ushindi.