2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Nilichogundua kwa watu weusi wao tu kushiriki WC wanaona ni kitu kikubwa hata wakitokea hapo sio mbaya.
Tunabahatika kuongoza lakini tunashindwa kushikilia bomba
FB_IMG_1748206064374.jpg
 
Kwa hiyo tatizo ni kuzaliwa au kulelewa Africa?
Winning mindset hawana. Unawaona Morocco wale, wazawa au waliolelewa nchini kwao kwenye kikosi kile ni wangapi?

Weusi wa Ufaransa huwa wanafunga vizuri tu. Ila hawa wa kwetu wana inferiority complex wao mradi wana kagoli kamoja au wamefungwa 2-1, 1-0, 3-2 wao wanaona sawa tu.
 
Back
Top Bottom