2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Wamatumbi waendeleze chuki zao kama zinasaidia chochote. Kuwashabikia au kuwachukia Morocco hakuongezi/kupunguza chochote kile.
Wala sio kuwachukia.
Mimi ni mwafrika haswaa...
Sema kuna nchi tatu nina interest nazo.

Mimi ni shabiki wa England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
Ila nina interest na Netherlands (wameaga), Croatia na Norway.

Ajabu Norway wanakutana na Ivory Coast!
England na DRC.
Utata sana.
 
Wala sio kuwachukia.
Mimi ni mwafrika haswaa...
Sema kuna nchi tatu nina interest nazo.

Mimi ni shabiki wa England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
Ila nina interest na Netherlands (wameaga), Croatia na Norway.

Ajabu Norway wanakutana na Ivory Coast!
England na DRC.
Utata sana.
Norway akikaza anatoboa
Congo anapigwa na England
 
Kitu nilichogundua hizi timu zinazoonekana ndogo( underdog) kwenye kila mchezo sio poa kwenda nazo matuta, Ni ishara mbaya Kwa timu giant kuwa hatarini kutolewa hata Brazil asingekaza akapata Goli DK za jioni ilikuwa apande ndege Yule kipa WA Japan anadaka mno, same to Argentina asiposhinda dhidi ya cape Verde ndani ya DK 120 kazi anayo
 
Back
Top Bottom