2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Shida Morocco wakishaanza kushinda wanajikataa wao siyo waafrika 🤬🤬🤬

Pole kwa makaburu waliochangamka uholanzi
Umasikini na chuki za Waafrika tu , ila kiuhalisia alisema mchezaji mmoja tena hakusema kwamba wao si waafrika bali hakutaja waafrika katika statement ya shukrani watu wakahamisha chuki kwa Morocco.

Juzi Mahrez kwenye press official baada ya mechi kama Captain baada ya Algeria kufuzu alijisifu sana Africa na akasema soka la Africa limepanda viwango ila watu wanachukulia poa na akasema yuko proud kuona maendeleo ya Africa kisoka . Hiyo kauli haijaenda viral Wala kupongezwa sasa aseme kauli ndogo ya utata utasikia tunabaguliwa
 
Umasikini na chuki za Waafrika alisema mchezaji mmoja tena hakusema kwamba wao si waafrika bali hakutaka waafrika katika statement ya shukrani watu wakahamisha chuki kwa Morocco.

Juzi Mahrez kwenye press official baada ya mechi kama Captain baada ya Algeria kufuzu alijisifu sana Africa na akasema soka la Africa limepanda viwango ila watu wanachukulia poa na akasema yuko proud kuona maendeleo ya Africa kisoka . Hiyo kauli haijaenda viral Wala kupongezwa sasa aseme kauli ndogo ya utata utasikia tunabaguliwa
Hao wamewekeza sana wako makini na soka..sie huko si tia mchuzi ndio maana ligi kuu wa mwsiho anachezeshwa na mtu wa Championship ndio uone akili za makalio
 
Umasikini na chuki za Waafrika alisema mchezaji mmoja tena hakusema kwamba wao si waafrika bali hakutaka waafrika katika statement ya shukrani watu wakahamisha chuki kwa Morocco.

Juzi Mahrez kwenye press official baada ya mechi kama Captain baada ya Algeria kufuzu alijisifu sana Africa na akasema soka la Africa limepanda viwango ila watu wanachukulia poa na akasema yuko proud kuona maendeleo ya Africa kisoka . Hiyo kauli haijaenda viral Wala kupongezwa sasa aseme kauli ndogo ya utata utasikia tunabaguliwa
Kila nchi inajipigania kwa manufaa ya nchi yake,
tuache kudandia mafanikio ya nchi zingine.
 
Back
Top Bottom