Wameniuma kweli, tangu wapoteze games yao na norway, sina hamu kabisa.Kumbe this time best loosers wanatakiwa 08.
Hapo nawaombea walau washinde hiyo mechi moja halafu tuone hesabu zitasemaje.
Atatoboa naamini, cha msingi game ya mwisho apige goli nyingi, na maadii zake wa juu wenye point tatu na chini ya tatu awaombee NJAA kaliYaani acha tu mwaya.
Hebu waje wazee wa calculations watuambie je ikitokea kashinda mechi ijayo vipi atakuwa na nafasi ya kupata hata ubest looser au ndo mpaka sasa ameshatoka mazima?
| 1 | Sweden | F | 3 | 0 |
| 2 | Scotland | C | 3 | 0 |
| 3 | Croatia | L | 3 | -1 |
| 4 | Algeria | J | 3 | -2 |
| 5 | Paraguay | D | 3 | -2 |
| 6 | Cape Verde | H | 2 | 0 |
| 7 | Belgium | G | 2 | 0 |
| 8 | Czechia | A | 1 | -1 |
| 9 | Ecuador | E | 1 | -1 |
| 10 | DR Congo | K | 1 | -1 |
| 11 | Bosnia | B | 1 | -3 |
| 12 | Senegal | I | 0 | -3 |
Idadi ya magoli ndiyo itakayo mbebaAtatoboa naamini, cha msingi game ya mwisho apige goli nyingi, na maadii zake wa juu wenye point tatu na chini ya tatu awaombee NJAA kali
1 Sweden F 3 0 2 Scotland C 3 0 3 Croatia L 3 -1 4 Algeria J 3 -2 5 Paraguay D 3 -2 6 Cape Verde H 2 0 7 Belgium G 2 0 8 Czechia A 1 -1 9 Ecuador E 1 -1 10 DR Congo K 1 -1 11 Bosnia B 1 -3 12 Senegal I 0 -3
Zipo ila hazina hamshahamsha
Too personal...Ronaldo anapendwa na wanaume ambao ni mabishoo wasiokua na hela pamoja na wanawake ma-sista du malaya!
🤣🤣MAKOBAZ wa qatar wanafurushwa rasmi kwenye michuano mda mchache ujao.
🤣🤣
Nqomba kujua mechi za leo