Ni kuitafuta best loserCongo kwa heri
Akishinda game ya mwisho anaenda kama best loserCongo kwa heri
Hapo anaweza kupita.A
Akishinda game ya mwisho anaenda kama best loser
Kama atashinda game na UrzibekstanNi kuitafuta best loser
Ndiyo anaweza,maana atakuwa na point 4 na hajaruhusu magoli mengiHapo anaweza kupita.
Aamue yy kutoshinda, ila walaini sana waleKama atashinda game na Urzibekstan
Atatakiwa kucheza sn lakiniAamue yy kutoshinda, ila walaini sana wale
Hah inasikitishaShida ya timu za kiafrica hasa mablack zinatafuta draw badala ya ushindi mechi nyingi ni kujilinda kuliko kushambulia
Mechi kati ya congo vs ureno kama congo angekuwa makini alikuwa anashinda ila walipotoka draw congo wakaea wanashangilia na hata hii mechi muendelezo ulikuwa ule ule
Hata ghana leo na yeye alikuwa anashangilia draw ni majanga hawa
Kama timu imefungwa hadi na Ronaldo wataifunga tu, tena nyingi.A
Atatakiwa kucheza sn lakini
Kama hao ghana sijui wameshindwa vp kumshinikiza refa aangalie VAR, walikuwa wanapata tuta la wazi kabisa, ila kwao wakaona ushindi sio kipaumbele chao.Shida ya timu za kiafrica hasa mablack zinatafuta draw badala ya ushindi mechi nyingi ni kujilinda kuliko kushambulia
Mechi kati ya congo vs ureno kama congo angekuwa makini alikuwa anashinda ila walipotoka draw congo wakaea wanashangilia na hata hii mechi muendelezo ulikuwa ule ule
Hata ghana leo na yeye alikuwa anashangilia draw ni majanga hawa
Ndiyo anao uwezo wa kuwafunga wa UzbekistanAamue yy kutoshinda, ila walaini sana wale