moto wa Colombia ulikuwa mkali sana lakini.Hawa Congo wanatakiwa wapelekwe moja kwa moja SUA ili wakasomee kilimo.
moto wa Colombia ulikuwa mkali sana lakini.Hawa Congo wanatakiwa wapelekwe moja kwa moja SUA ili wakasomee kilimo.
Wanaweza au unasemaje Tresor Mandala ?Wazaire ndoto zao kutimia sasa ni lazima wamfunge Uzbek
kila mtu na mnyonge wake, pengine wataweza.Wanaweza au unasemaje Tresor Mandala ?
Aaaaah!....Halafu wataalamu wa Video washagundua wakimzoom wanamdhalilisha.
Wanamwonyesha chap na kukimbiza camera
Tunavuka kundi Hilo Leo tunamkazia Colombia,tunamalizia na Uzbekistan, tunaenda MtoanoWanaweza au unasemaje Tresor Mandala ?
umeangalia ball mdau? mmeweza sasa?Tunavuka kundi Hilo Leo tunamkazia Colombia,tunamalizia na Uzbekistan, tunaenda Mtoano
Ball lipi? Mie nawaangalia DRC 🇨🇩 tu na wapinzani wao basiumeangalia ball mdau? mmeweza sasa?
colombia mumkazie tena wapi, wakati washawaweka?Ball lipi? Mie nawaangalia DRC 🇨🇩 tu na wapinzani wao basi
Vijana muna msongo wa mawazo mnoTunavuka kundi Hilo Leo tunamkazia Colombia,tunamalizia na Uzbekistan, tunaenda Mtoano
colombia mumkazie tena wapi, wakati washawaweka?
colombia mumkazie tena wapi, wakati washawaweka?
HahahahaVijana muna msongo wa mawazo mno
Mchawi mtu, paka anatumwa tu 🤣🖐️Hatimaye kikongwe amekosa hat trick.
Messi ni G.O.A.T ila Ronaldo ni Mbuzi.Hatimaye kikongwe amekosa hat trick.
Hivi congo mebakiza mechi moja ???
Mechi ya mwisho anacheza na Uzbekistan ambaye kisha toka tayari kwa kufungwa mechi 2Hivi congo mebakiza mechi moja ???
So itakuaje hapo?? Atapangiwa mwingine au??Mechi ya mwisho anacheza na Uzbekistan ambaye kisha toka tayari kwa kufungwa mechi 2
Dahhh pagumu hapoCongo anatakiwa amfunge Ubekistan goli nyingi huku akiombea Colombia amfunge Portugal mwenye point 4
Colombia wao wamesha advance tayari,wana point 6
Au ashinde mechi yake na Uzbekistan na kusubiri chance ya Best loser.
Sio kwamba Uzbekistan katoka kwenye mashindano,bado ana mechi ya mwisho na Congo,So itakuaje hapo?? Atapangiwa mwingine au??
Mahesabu hayo yanahitaji calculater.Congo anatakiwa amfunge Ubekistan goli nyingi huku akiombea Colombia amfunge Portugal mwenye point 4
Colombia wao wamesha advance tayari,wana point 6
Au ashinde mechi yake na Uzbekistan na kusubiri chance ya Best loser.