2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Morning fellas

Just wanted to say hiView attachment 3613721
WA_1782207371262.jpeg
 
Hapo ni kabla Mbappe hajacheza

Mbappe amefunga mabao 16 akiwa amecheza mechi 16 hii ni sawa na ratio ya bao 1 kwenye kila mechi.

Wakati huyo nanii kacheza mechi 28 (namba za umri wa Mbappe ni ndogo kuliko namba za mechi alizocheza nanii)

Na mind you nanii ana Penalty 4 kwenye hizo 18. So tuki minus penalty hapo anakuwa na goli 14
 
Hapo ni kabla Mbappe hajacheza

Mbappe amefunga mabao 16 akiwa amecheza mechi 16 hii ni sawa na ratio ya bao 1 kwenye kila mechi.

Wakati huyo nanii kacheza mechi 28 (namba za umri wa Mbappe ni ndogo kuliko namba za mechi alizocheza nanii)

Na mind you nanii ana Penalty 4 kwenye hizo 18. So tuki minus penalty hapo anakuwa na goli 14
Ok, ebu tuongelee namba za goat, ana magoal mangapi katika mechi ngapi
 
Mechi ya leo Portugal wakimpa ushirikiano Ronaldo naamini ataenda kufanya kitu.

Na hata ikitokea hajafanya kitu bado anabaki kuwa GOAT 🐐
😁😁😁ushirikiano ni kumtafutia penalti na si vinginevyo.
Tofauti ni kwamba Messi anashirikiana na timu ila Ronaldo mnataka apewe ushirikiano na si atoe yy huo ushirikiano
20260623_133149.jpg
 
Breakdown ya 18 World Cup Goals

🇩🇿 Algeria: 3 ⚽

🇳🇬 Nigeria: 3 ⚽

🇦🇹 Austria: 2 ⚽

🇷🇸 Serbia: 1 ⚽

🇧🇦 Bosnia: 1 ⚽

🇮🇷 Iran: 1 ⚽

🇸🇦 Saudi Arabia: 1 ⚽

🇲🇽 Mexico: 1 ⚽

🇦🇺 Australia : 1 ⚽

Kwenye magaoli 18 aliyofunga kuna magoli 14 amefunga dhidi ya timu ndogo.

Mbali na hilo kwenye magoli 18 kuna magoli mengine manne yaliyotokana na penati.

FB_IMG_1782141953183.jpg
 
Mfano Cape verde mechi ya mwanzo 0-0, mechi ya pili 0-0 jee mechi yao ya mwisho jee wakidraw tena mfano 1-1 inakuwaje hapo?
Mechi ya pili Cape Verde walitoka sare ya 2-2

Mechi ya mwisho kama watapata sare ya 1-1 hapo itategemeana na mechi ya Spain na Uruguay itaishaje.

Endapo Spain atashinda hiyo mechi maana yake hapo Cape Verde atasogea nafasi ya pili kwa kuwa na pointi 3
 
Back
Top Bottom