Palac
JF-Expert Member
- Mar 29, 2025
- 2,838
- 7,471
Ikiwa watashinda mchezo wa mwisho na kumaliza nafasi ya tatu katika kundi hawatatoka moja kwa moja Pointi na mabao waliyopata kwenye ushindi huo vitasubiriwa kulinganishwa na timu nyingine zote zilizomaliza nafasi ya tatu kwenye makundi mengine 11 Kama watakuwa miongoni mwa timu 8 bora zaidi za nafasi ya tatu, watafuzu kwenda hatua inayofuataYaani acha tu mwaya.
Hebu waje wazee wa calculations watuambie je ikitokea kashinda mechi ijayo vipi atakuwa na nafasi ya kupata hata ubest looser au ndo mpaka sasa ameshatoka mazima?