2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Ushindi ni matokeo ya mwisho.

Nazungumzia mchakato mzima wa kuupata huo ushindi uligubikwa na dosari nyingi ambazo ziliwanufaisha zaidi timu pendwa ya FIFA.
Sio kweli mkuu, ni mtazamo tu au may be umekuwa manipulated na kile watu wanachosema. Hao ni rivals na wana fan base kubwa kubwa. Naamini ni kupakaziana tu.

Huenda hata huyo mwingine angekuwa bingwa bado ungeendelea kusikia kauli hisi toka kwa fans wa upande wa pili
 
Sio kweli mkuu, ni mtazamo tu au may be umekuwa manipulated na kile watu wanachosema. Hao ni rivals na wana fan base kubwa kubwa. Naamini ni kupakaziana tu.

Huenda hata huyo mwingine angekuwa bingwa bado ungeendelea kusikia kauli hisi toka kwa fans wa upande wa pili
Hii haiko based kwa "namna watu wanavyosema."

Bali ni picha pana ya mfululizo wa matukio mengi controversial yalivyotokea.
 
Hii haiko based kwa "namna watu wanavyosema."

Bali ni picha pana ya mfululizo wa matukio mengi controversial yalivyotokea.
Ni namna tu mnavyotazama mambo. Kwamba timu gani ilideserve kushinda kwa mtazamo wako? Na sababu ni ipi?

Bingwa alionekana ana vipengele gani vya kuonekana kabebwa?

Team uliowish iwe bingwa, kama ingeshinda game zake zote isingebeba? Kanini haikushinda?
 
1781767391841.png
 
Ni namna tu mnavyotazama mambo. Kwamba timu gani ilideserve kushinda kwa mtazamo wako? Na sababu ni ipi?

Bingwa alionekana ana vipengele gani vya kuonekana kabebwa?

Team uliowish iwe bingwa, kama ingeshinda game zake zote isingebeba? Kanini haikushinda?
Mkuu huyo Shabiki wa Ronaldo kindakindaki... Hapo anaokoteza sababu ili ajipoze moyo... Mimi jamaa namwelewa, hata mimi ingetokea Ronaldo ana world cup halafu Messi hana nadhan ningeitisha mpaka press conference..
 
Back
Top Bottom