Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 8,335
- 13,236
Hii ni Piga nikupigeeee
Bila shaka ni Argentina FIFA walimtafutia andunje tajiUkweli ni kwamba ya 2022 haikuwa na ushindani kwasababu kuna timu moja iliandaliwa kutwaa taji kwasababu za kibiashara pamoja na mchezaji wake kuwa favourite na FIFA.
Ladha ingeonekanaje ikiwa kila mechi kulikuwa na penati?
Ushindani ungeonekanaje ikiwa hakuna usawa wa kimaamuzi kwenye kutafsiri sheria za faulo?
Sijui ni camera, uwanja au jezi. Nikiangalia mechi za Ligi Kuu sahivi najisikia kichefuchefuUkiangalia level ya football inayopigwa hapa afu ukikumbuka ligi ya NBC haijaisha na kinachochezwa ni utumbo basi unachoka tu kama Mstaafu Ronaldo (Mzee wa Tasaf)
Leo muingereza lazima afeHii ni Piga nikupigeeee
Lolote linawezekana ijapokuwa England nampa chance kubwaLeo muingereza lazima afe
England ni timu ya kawaida sanaLolote linawezekana ijapokuwa England nampa chance kubwa
Ligi yao nzuri ila NT kawaidaEngland ni timu ya kawaida sana
Safu ya ulinzi iko uchi ijapokuwa wana jini harry kaneEngland ni timu ya kawaida sana
low quality kwenye kila kituSijui ni camera, uwanja au jezi. Nikiangalia mechi za Ligi Kuu sahivi najisikia kichefuchefu
Hii game 🙌Jude Bellingham⚽️
4.5 imetoa. Ilikua na odd kubwaaaHii game 🙌