Kwa mpira ule wa ghana, sidhani kama atatoboa kwa croatia.Hili kundi anapita Ghana na England
Tumeshasema na uran hakuna team ndogo huko.Panama nayo timu bas ni kama curacao muulize uran mziki wa england kauona
Usingizi ulinikamata 😀😀Mkuu saafi hulali..Colombiaaaaaaa...
Chumaaa
1-2
Croatia umewaona?Kwa mpira ule wa ghana, sidhani kama atatoboa kwa croatia.
Portugal nae vp tumuondoe katika mbio za ubingwa?Panama atagawa utamu. 🤣🤣🤣
Mtoe ghana weka CroatiaHili kundi anapita Ghana na England
Sahihi kabisa Mkuu.Tumeshasema na uran hakuna team ndogo huko.
Mlikuja majuzi na visingizo ooh Congo atakula nyingi mbele ya Ureno..oooh Verde atachezea..matokeo yake wamechezwshwa watu kigodoro cha kiafrika wameishia Droo..
Heshimuni watu walioingia huko Kombe la Dunia..mkiona hamna heshima pelekeni team zenu.
Subiria uone sasaMtoe ghana weka Croatia
Kama kuna mtu kashinda bet yeyote ya kombe la dunia msimu huu raundi ya kwanza basi huyo ametumia uchawiMechi yake ya pili itaamua ila jana hakika wamecheza Utopolo mtupu.
Ushindi ni matokeo ya mwisho.kuna mtu alipewa kombe bila ushindi?🤓🤓