2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

siku Senegal walipoiduwaza Ufaransa na Dunia kwa ujumla

RIP Papa Bouba Diop
IMG_0605.jpeg
 
Tuwape Congratulations Iran, pamoja na pressure nyingi na vikwazo nje uwanja unfairness wameweza kupata pointi ht km hao New Zealand ni kibonde kwao kulingana na fifa rankings, japo tumeona baadhi nchi zipo chini kisoka kwenye fifa rankings zimewatuliza vigogo soka Duniani mfno Cape Verde Kwa Spain,Qatar Kwa Uswiss,Saudia Kwa Uruguay, Australia Kwa Uturuki so kila kila nchi/timu inaleta ushindani wapate dollari nyingi nyingi ht km wasipochkua ubingwa na wapate soko kubwa ulaya...
Lakini wasiwasi wngu Iran asipokaza anaweza asifuzu Kwa mara nyingi tena kwenda mtoano 32 Bora maana mechi alizobakiza ni ngumu na very tactical teams kuliko New Zealand alionekana kibonde wa kundi na kikosi chake Iran ni aged kdgo compare na Egypt na Belgium Wana mipira ya Kasi hasa Misri.
Sahihi kabisa Mkuu
 
Sio leo ni kwamba yalisukwa matreni kabla ya michuano kuanza aliyenusulika dhidi ya game ya uswisi hii game ya spain jana haijamuacha salama
Kuna matrain bado yapo salama ,,,,kacheki train la Sam kicheko linasonga mpaka sasa timu 14 zishatiki
 
Sijaelewa hii kitu Wakuu imekuwaje safari hii Afrika tunasimamisha timu 10?

Nakumbuka kama zilikuwaga tano hivi?
Timu zimeongezwa ndugu , watu walilamika kombe la Dunia iwaje zinashiriki nchi 32 tu katika nchi zote Duniani ? ndio wakaona watanue wigo ziongezwe idadi ya timu ili timu nyingi zipate nafasi ya kushiriki ndio pendekezo la timu 48 likakubaliwa .

Hapo Africa tukapata advantage timu zetu zimeongezwa . Wengine waje kuongezea nyama
 
Timu zimeongezwa ndugu , watu walilamika kombe la Dunia iwaje zinashiriki nchi 32 tu katika nchi zote Duniani ? ndio wakaona watanue wigo ziongezwe idadi ya timu ili timu nyingi zipate nafasi ya kushiriki ndio pendekezo la timu 48 likakubaliwa .

Hapo Africa tukapata advantage timu zetu zimeongezwa . Wengine waje kuongezea nyama
Ooh! Kumbe.

Ahsante sana ndugu mana nilijikuta hata sielewi elewi.
 
Timu zimeongezwa ndugu , watu walilamika kombe la Dunia iwaje zinashiriki nchi 32 tu katika nchi zote Duniani ? ndio wakaona watanue wigo ziongezwe idadi ya timu ili timu nyingi zipate nafasi ya kushiriki ndio pendekezo la timu 48 likakubaliwa .

Hapo Africa tukapata advantage timu zetu zimeongezwa . Wengine waje kuongezea nyama
Okay l
 
Timu zimeongezwa ndugu , watu walilamika kombe la Dunia iwaje zinashiriki nchi 32 tu katika nchi zote Duniani ? ndio wakaona watanue wigo ziongezwe idadi ya timu ili timu nyingi zipate nafasi ya kushiriki ndio pendekezo la timu 48 likakubaliwa .

Hapo Africa tukapata advantage timu zetu zimeongezwa . Wengine waje kuongezea nyama
Naona groups kibao this time
 
Back
Top Bottom