Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 8,368
- 10,381
Mimi nimesema ukweli tu sio kwamba nasema Egypt itashindaSawa ngoja tuone, jina lako lilivyokaa tuu nshakuona ni mtu wa aina gan siwez kubishana
Mimi nimesema ukweli tu sio kwamba nasema Egypt itashindaSawa ngoja tuone, jina lako lilivyokaa tuu nshakuona ni mtu wa aina gan siwez kubishana
YametimiaSi ni kesho tu hapo ngoja ifike tuone.
Licha ya kwamba mnacheza na mpinzani wa daraja la chini lakini nitakuwa na hate watch siku hiyo
View attachment 3607524
Told yaNa mechi itaisha hivyo hivyo
Hawa Spain wana makeke ambayo hayana maana
Kumbe hadi sisi tuliwahi kuwabondaUliwaambia mapema sana
Mbona waliingia?
At least Egypt wanaonesha kitu uwanjani kuliko SpainTuwacheki Mafarao sasa
Lazima afuzu mzee,Dogo haujui mpira Kachambue wakina Konde boi 😆