jamama wana forward lao jersey no. 20 na winger aliyepiga bao jersey no.8 ni balaa hao watu sii mchezo na kuna mido wao no. 14 sema aliumia ila mtu na nusu yuleKweli kabisa.
🤣🤣Hivyo unataka wakutane uwanjani. 🤣🤣
jamama wana forward lao jersey no. 20 na winger aliyepiga bao jersey no.8 ni balaa hao watu sii mchezo na kuna mido wao no. 14 sema aliumia ila mtu na nusu yuleKweli kabisa.
🤣🤣Hivyo unataka wakutane uwanjani. 🤣🤣
leo mabingwa wa africa wanacheza hawawezi kutuangusha dhidi ya waafrica wenzao walio lowea ufaransaUfaransa ni must win match
Hii ni mechi ambayo Ufaransa ameshinda kabla hata hajacheza.
Ila najua Senegal hawezi kukubali unyonge lazima atajitupa tupa.
Atakeyechukua kombe la dunia mwaka huu Kama atatokea ulaya! Atakuwa amechoka saaana.Nani Spain?
Yulle mbona mimi nilimkatia tamaa tangu michuano haijaanza
Tena bora venye wachezaji wetu wa Madrid hawakuhusika kwenye ile aibu, huyo Cocurella bado ni fresher tunaweza kumpa excuse.
Ni kweli ni mabingwa wa Afrika hilo naliheshimu ila kwa leo watanisamehe.leo mabingwa wa africa wanacheza hawawezi kutuangusha dhidi ya waafrica wenzao walio lowea ufaransa
mie nachotaka mbungi ipigwe nani atashinda hiyo watajua wenyewe muhimu tuone boli linapigwa watu wanaonyesha ujuzi wa kusakata kabumbuNi kweli ni mabingwa wa Afrika hilo naliheshimu ila kwa leo watanisamehe.
Ufaransa hii mechi sioni akienda kupoteza alama 3.
Cha msingi wasiliharibu hili kombe kama walivyofanya 2022Atakeyechukua kombe la dunia mwaka huu Kama atatokea ulaya! Atakuwa amechoka saaana.
Na mpira utakuwa mkali kwasababu kwanza zinakutana timu ambazo kwenye kila bara zinakotokea zinaogopwa.mie nachotaka mbungi ipigwe nani atashinda hiyo watajua wenyewe muhimu tuone boli linapigwa watu wanaonyesha ujuzi wa kusakata kabumbu
Nipo mtani. Nipo mabingwa watetezi wa tajiIla umemissika Mtani. Hivi upo kweli?
Unasimamia Taifa gani Mtani?