2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

1000804458.jpg
 
Tafuta kazi ya kufanya kubet sio kazi
Nataka kazi ya ushekh nimesha nunua vifaa vyote kwa pesa ya kubeti
1)barakashehe mbili
2)kanzu mbili
3)kobazi pea mbili
4)mafuta ya nazi kopo moja
5)kilemba kimoja
6)tasbii 1
Sasa hivi nataka kununua mic na honi speaker ..LAZIMA UJE NIKUSWALISHE.
Pia nitakuchukua wewe uwe muosha maiti za kike.
 
Tuwape Congratulations Iran, pamoja na pressure nyingi na vikwazo nje uwanja unfairness wameweza kupata pointi ht km hao New Zealand ni kibonde kwao kulingana na fifa rankings, japo tumeona baadhi nchi zipo chini kisoka kwenye fifa rankings zimewatuliza vigogo soka Duniani mfno Cape Verde Kwa Spain,Qatar Kwa Uswiss,Saudia Kwa Uruguay, Australia Kwa Uturuki so kila kila nchi/timu inaleta ushindani wapate dollari nyingi nyingi ht km wasipochkua ubingwa na wapate soko kubwa ulaya...
Lakini wasiwasi wngu Iran asipokaza anaweza asifuzu Kwa mara nyingi tena kwenda mtoano 32 Bora maana mechi alizobakiza ni ngumu na very tactical teams kuliko New Zealand alionekana kibonde wa kundi na kikosi chake Iran ni aged kdgo compare na Egypt na Belgium Wana mipira ya Kasi hasa Misri.
 
Back
Top Bottom