Nlisema hapa jana 👆🏻Hii game naona itabalance....matokeo ni draw
Nyabumbu wewe umefanya nini kwa nchi zaidi ya kuvuta Mabange tu ?Usiku huu wa manane kuamkia jumatatu kweli upo macho unaangalia mpira kombe la dunia na upo JF? Kama taifa tunapoelekea ni wapi?
Hii siyo sawa kabisa tendeeni haki miili yenu na akili zenu. Nchi yetu bado kabisa kupenda na kuendekeza anasa.
Kuweni Wazalendo.
Kusema kweli inasikitisha!
Nijiandae na job sasa, nimekesha leo dah2nd Half Imeanza.
Sweden 2 - 1 Tunisia.
Game on...
Tunisia wakikaza wana level scoreboard
Hawa watoboi makundiTunisia wanacheza Offside Trick
Germany kwa goals hacheki na paka yytBrazil amekumbushwa machungu.
Kakutana na underdog tuGermany kwa goals hacheki na paka yyt
Kwahiyo Brazil nae alipopigwa na Wajerumani goli 7-1 alikua underdog?Kakutana na underdog tu