Best way to defend is to attackHii sub ya ike imeleta matatizo.....haya mambo yakulinda goli na mabeki undezi
Kabisa mwanawane....Best way to defend is to attack
KabisaExuador watajutia hizi nafasi.
Usiku huu wa manane kuamkia jumatatu kweli upo macho unaangalia mpira kombe la dunia na upo JF? Kama taifa tunapoelekea ni wapi?CIV pale nyuma wapo hovyo sana
Umeandika kwa uchungu sana mdau.Usiku huu wa manane kuamkia jumatatu kweli upo macho unaangalia mpira kombe la dunia na upo JF? Kama taifa tunapoelekea ni wapi?
Hii siyo sawa kabisa tendeeni haki miili yenu na akili zenu. Nchi yetu bado kabisa kupenda na kuendekeza anasa.
Kuweni Wazalendo.
Kusema kweli inasikitisha!