2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

Duuh hivi USA tunapishana masaa mangapi aisee, huku kunaenda kukucha kule bado jua lipo.
 
IMG-20250618-WA0008.jpg
 
Umesema wenyeji wana timu 1. Hizo timu za mwisho group A,B,na C ni nchi gani?
 
Mbona huleti up-to-date sasa? Au mimi ndio sioni up-to-date? Uzi una maana gani sasa?
 
Watakwambia wao wapo upande wa Haaland
Kuna watu watasema sio mtanzania wanasahau yule kaoa bongo,watakuja watasema hakucheza tim "s" watasahau aliifunga sana,watasema hajachezea taifa stars watasahau kuwa yule ni NIGER/BLACK Mwenzetu leo mtan kaz anayo
 
Back
Top Bottom