Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,974
- 134,089
Mechi imemshinda huyu,goli litafutwa hili
Hio ni dangerous playKama katoka si aliluka kichwa kupiga mpira
kabisaMechi imemshinda huyu,goli litafutwa hili
Hii card sio,ya mwanzo ni sawa
Nje ya eneo lake kipa ni mchezaji kama wachezaji wengine. Kosa lake nini kama aliruka ili aupige mpira kwa kichwa bahati mbaya wakagongana na mchezaji ambae nae aliruka kuupiga mpira kwa kichwa?Lakini kipa katoka nje ya eneo lake
Watu VAR wanaonekana kabisa wanamshawishi refa afanye maamuzi. Pia wale VAR wako wengi. Refa anaingia woga anaona akubaliane nao tuHapana, refa wa kati ndio mjinga. VAR wanamwambia refa wa kati akajiridhishe kuangalia tukio, sasa yeye kila akienda kuangalia tukio ni red
ni ajali tu ile haikuwa na haja ya VARHiyo ya kipa kugongana na Mane, mpira ni 50/50 ule hakukuwa na sababu ya kadi wala faulo...
Refa kuona damu basi kajaa...
Inaonekana hawana uzoefu nayo. 2017 Gabon hapakuwa na VAR na hakukuwa na maamuzi yoyote yenye utata.Hii VAR kwa Afcon waitoe tu, ujinga mtupu...
sheria namba ngapi mkuuLakini kipa katoka nje ya eneo lake
Acha wabaki 9 bila hivyo Sénégal hakuwa na namna.Hii card sio,ya mwanzo ni sawa
Kabisa,maamuzi yanashangazaaaaAFCON ya kipumbavu sana, wazungu walikuwa sawa.
NdioUyo iwobi mjomba ake c jj agustino okocha???
Afrca magh hata wachezaji kuanza kucheza ulaya ni wao nadhan walianzaHii siyo conspiracy tu? Miaka yote hata kabla GSM hawajaingia kusponsor ligi hatujawahi, hatujawahi kufurukuta hata kwenye kombe la Kagame (sijajua kwa nini lilitwa la Kagame).
Yule refa aliyemaliza mechi kabla ya muda ilikuwa ni kiashiria cha huu upuuzi wa sasa.AFCON ya kipumbavu sana, wazungu walikuwa sawa.