Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,981
- 134,107
Safi sana refa. Toka mshikaji wangu avunje mguu Umishmita nachukia sna wacheza rafu. Referee wa AFCON wanakosha sana
rafuu mbaya kweliSafi sana refa. Toka mshikaji wangu avunje mguu Umishmita nachukia sna wacheza rafu
Sénégal inachechemea sana kwenye hii michuano s'il kama ile ya AFCON iliyopita, karata yangu naitupa kwa Ivory coast.Nategemea Senegal watatupa raha ya ushindi...
Unanikumbusha Brazil ya 2014. Mwisho wakala 7Gambia hakuna timu pale, kuna njia Cameroon anapitishwa ila mwisho wake atakuja kukutana na the elephant horn na atajua kama hajui.
Kama amestahili basi futa kauli yako😂Moja kati ya AFCON yenye kadi nyekundu nyingi, kinachoshangaza kadi zote zinaelekezwa kwa team dhaifu(zisizo maarufu).
Ingawa kwa hii alisitahili.
Inaharibu mashindano sanaaaa.Hovyo kabisaMoja kati ya AFCON yenye kadi nyekundu nyingi, kinachoshangaza kadi zote zinaelekezwa kwa team dhaifu(zisizo maarufu).
Ingawa kwa hii alisitahili.
Zimetimia 11 tangu tuanze mashindanoAnother day, another red card
zijaona red ya mchongo. uhuni umekosa nafasiZimetimia 11 tangu tuanze mashindano
Rekodi ya aina yakeZimetimia 11 tangu tuanze mashindano
Sasa kama watu wanacheza faulo za wazi na hatari refa afanyaje mkuu?Inaharibu mashindano sanaaaa.Hovyo kabisa
unazijua sheria za soka?sema refa kakiuka sheria ipiInaharibu mashindano sanaaaa.Hovyo kabisa
Safu ya ushbuliaji inachechemea sana upende wa Senegal, nadhani ni moja Kati ya team yenye magoli madogo ya kutengeneza inayopita kwenda hatua za mbele kwa bahati sana tangu hii michuano ianze.View attachment 2095398
Huyu muhuni hakuitwa?
umetumia factors gani kutoa conclusion. Senegal wana MendyWakienda matuta Senegal anaaga mashindano.