Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,786
Mkuu Nguruvi3,
Tafadhali mpuuze huyo jamaa labda kama hakufuatlii vizuri msimamo wako na mabandiko yako, kimsingi ww ni mtetezi wa maslahi ya taifa na huwa unakosoa chama tawala au upinzani popote unapoona pana mapungu, so asiku discourage kwa namna yyt, tumeshuhudia mabandiko mengi wewe na wenzako mkikosoa na kupongeza pasipo kupebdelea.
kimsingi wengine tumejifunza mengi so wanaokukebehj hawajui thamani yako wapuuze kabisa, kinachotokea ninupande wanaoshabikia una mapungufu mengi ndio maana wanadhani ww ni mshabiki fulani kumbe ni mkosoaji huru
wewe na wewe ni mhanga, jifariji tu!
tumetoka mbali na nguruvi, ndio maana kawa mpole.........
sikujiunga JF baada ya uchaguzi wa 2010!