Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
'This is one too many'' Sauti hizi zinaweza kupuuzwa na UKAWA kwa muda, mbele ya safari zitasikika pamoja na zile za nyikani, sitaki kubashiri ...!!!
Kwamba, taasisi inasimama kama mtu, I can't wrap up my head
Kwamba, mtu anachukua umiliki wa taasisi! Real
Ukawa waombe sana Mungu washinde urais. Endapo watashindwa itakuwa disaster, umoja utavunjika na kila mtu atachukua hamsini zake.
Tutaanza square one, hadi waje kusimama miaka mingine 20.
Siipendi CCM na sitakaa kuja kuwapigia kura maisha yangu. Bado sijaamua.