2011 UDSM nilinusurika kukamatwa

Graduate anaandika nilinusulika dah
 
Yule jamaa alikuwa ni hatari sana.
 
Dah nmetokaa mpk machozi kipindi hikii hali ilikuwa tete mno, tumefka tu chuo 2010, tukamkuta Ally Hapi (chuoni alijulkana kama Salum) mwanaharakati akatuaminisha kuwa yeye ni Mpinzani anampinga rais (Kipara) ambaye alitajwa kama mwana CCM kumbe mchumia tumbo Salum Sijui Hapi nilikuwa namuona ndumilakuwilii mnoo, mwisho wa siku kwa usaliti alioufanya alikimbia Chuoo manake raia walkuwa na Hasira nae Vibayaa ila tanzania wasaliti ni wengi mno, nakumbuka baada ya wanaharakati wengi kufukuzwa ndo wale viongozi wa Daruso namkumbuka mbusule ambae alikuwa Speaker walivosimama kututetea wakatemwa pia ila mule mule Daruso walikuwemo machizi, basii wanafunzi wakajiweka pembeni, akaibuka Ndunguru jamaa alkuwa na mwilii mkubwa, Hoja nzito nae akakamatwaa ndo akatokea Alshabaab...Huyu jamaa alkuwa Kichwa, Organiser mzurii Mno, aaaah nmemkumbka Alshabiib haaa Kizazi cha Kuhojii kilishiaa hapaa UDSM....
 
Ndo huo lakini baadae alkujaa kuendleaa Akafukuzwaa tena akiwa mwaka wa Pili baada ya Muda mlefuu kupitaa
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Yani alianza upya afu akafukuzwa tena why????
 
Anataka tuharibiane weekend tu,na watu kama hawa unakuta katika familia ya watu 9 pekee ndo angalau amefika hatua fulani ya shule,Sasa namna anavyowapelekesha ndugu zake huko analeta JF
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kweli kabisa.. nakumbuka mwaka 2008 njaa ilisababisha tukagawiwa chai na maharage Kama dinner kisa shule haikuwa na unga wa kupika ugali...
Ilikuwa shida sana..
Daah aisee maharage yenyewe yalikuwa mazuri au yaleyale ya kwetu?
 
Kumbe JF tunachat na watoto makinda/mlenda wenye kunukia maziwa bado
Teh watu wa Jf bwana, hivi ukisema ukadirie mtu aliyeingia chuo 2010 utampa miaka mingapi? Ukikuta under 30 basi ni wale ambao waliwahi kuingia shule
 
sasa watoto ni waki nani wewe umesha pata mafao yako kikokotoo NSSF.kuona jua sio kuona mengi inawezekana hata mtwara upajui.basi waache waleta uzi watuburudishe
[emoji3][emoji3][emoji3] hivi kupajua mtwara ndio ujanja?
 
Ninyi mliyafanya haya 2011 Mimi niliyafanya haya 2004 nikiwa mwaka wa tatu.
 
Una bahati kwamba haudaiwi na Bodi ya Mikopo. Sasa ndio wakati wako wa kuwa na misimamo - katika level nyingine km ya akina TL.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…