rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,164
- 43,854
Alifariki au???Kinachoniuma ni kuwapoteza course mates wetu,akiwepo Alshabab.
Alifariki au???Kinachoniuma ni kuwapoteza course mates wetu,akiwepo Alshabab.
Mbona ID yako na avatar yako haviendani, kwema?Hiki kibibi kazi kukosoa tu wenzake, kule jukwaa la gizani nae yumo kwa wajukuu zake. Duh, dunia kweli mbio sana.
AiseeKwenye wale 46 nami niliondoka
Emeka
Francis ndunguru waliniponza sana


Hakika.Hata pale utawala,alitema nyongo balaaa.Lecturers wakawa wapo kule juu wanamsikiliza.kipindi hicho hicho kuna dada machachari sana nae alikua miongoni mwa waliofukuzwa chuo
alijiita Alishabib
Huu mwaka sitausahau pale mlimani.
Washikaji zetu ,Christopher mbusule, Lusako ,Ndunguru na wengine wengi tu walipoteza chuo.
Mlimani city ilikuwa jumba la maficho . Tulikimbia tukajificha kwenye maduka. Wale jamaa walikuja na hasira kama za simba wakitutafuta.
Poleni sana washikaji wote mliopoteza chuo kipindi Hicho. Harakati zenu zilifanyika neema kwa wengine.
Mungu bado anatupigania . Siku zimepita na maisha yanaendelea.
Marahabaaaaa!shikamoo dada
We nawe mkorofi kama nini 😂😂😂😂😂Mbona ID yako na avatar yako haviendani, kwema?
Nakumbuka pale utawala tulikaa palee masaa kadhaa,ndunguru akasema wameniita nikaongee nao nisipotoka lianzisheniH
Hakika.Hata pale utawala,alitema nyongo balaaa.Lecturers wakawa wapo kule juu wanamsikiliza.


Hapana.Ni 7500Hivi baada ya ule mgomo boom ndyo liliongezeka vile kutoka 5,000 had 8,000 nadhan
Maboko,mgaya na mkandala walikua viumbe hatari sanaAisee![]()
pole sana.ulitusaidia pole kwa kweliKwenye wale 46 nami niliondoka
Emeka
Francis ndunguru waliniponza sana
Hiyo siku naikumbuka sanaIla kuna watu ni hatari nakumbuka alshabab kipindi cha mgomo tulikuwa pale utawala mwanadada akaanza kutiririsha maneno maprof walitoka kwny ofisi zao wakasimama kule juu gorofani wakimsikiliza walibaki wanatikisa tu vichwa vipaji vyao vingeendelezwa tungekuwa na wapembuzi na wanasiasa makini sn,
Pale shati langu lilichanika mgongo mzima baada ya kupenya sehemu kwenye fensi ya waya, huku nikiacha raba yangu paleDuuu.Ni shidaaa.Hakika kwa sasa hatuna tena vyuo.Unakumbuka mabomu ya Mlimani City kwenye harakati ya kwenda ikulu?.Kwa kifupi,CASS ilipoteza wawili.Hao wote tulikuwa nao kwenye literature.
Mbona ID yako na avatar yako haviendani, kwema?
Duuuuuuuuu,pole sana.Ulirudi tena pale pale au?Kwenye wale 46 nami niliondoka
Emeka
Francis ndunguru waliniponza sana
Kusema kweli ule ujinga siwezi fanya tena kipindi kile nilikua na misimamo ya kipuuzi sana,mwisho wa siku nimekuja kusoma chuo kingine bila mkopo na mzigo wote nikawabebesha wazazi wangupole sana.ulitusaidia pole kwa kweli
vipi lakini
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏Pale shati langu lilichanika mgongo mzima baada ya kupenya sehemu kwenye fensi ya waya, huku nikiacha raba yangu pale
Yeah walijitenga,kama kumbukumbu zangu zipo sahihi kuna Prof wao alipigwa,Jamaa wa Coet walikuwa hawataki kuungana nasisi kwenye mgomoHahaha halafu kama sijakosea huo mgomo watu wa COET kama vile walijitenga navyokumbuka ni kama vile walifunga geti lao ngwini wasiingie mule hahaha
Hapana baadhi tulisamehewa tukaambiwa turudi pale tuanze moja kwani tulifuata mkumbo tu ila mimi wazee walikataa hawakutaka nisome tena udsmDuuuuuuuuu,pole sana.Ulirudi tena pale pale au?