theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,638
Baada ya kufukuzwa udsm hakurudi pale alienda kuanza shule upya pale sua nahisi alisoma kati ya kozi zifuatazo sociology, AEA au ualimu.Kwa hiyo alihitimu sua au udsm?
Na pia alikuwa RAIS wa serikali ya wanafunzi wa SUA ( SUASO)