2011 UDSM nilinusurika kukamatwa

2011 UDSM nilinusurika kukamatwa

mgomo wa 10000
watu walirusha chupa kwenye msafara wa kawambwa ffu walitembeza mabomu
niliumia kidole hadi leo kicha aioti vizuri
wale wahuni walirusha hadi moto ukawaka maeneo ya COET
nilikuwa 100% ya huo mgomo ulipoanza hadi kuisha
Teh
 
Hapana baadhi tulisamehewa tukaambiwa turudi pale tuanze moja kwani tulifuata mkumbo tu ila mimi wazee walikataa hawakutaka nisome tena udsm
Mshukuru Mungu kama ndoto zako zilitimia,haijalishi wapi ulikopata elimu yako ya chuo.
 
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏
Bila vile Mkuu,wengi waliokamatwa pale walisimamishwa Chuo,tulienda kuingia kwenye nyumba ya mtu bila hodi tukiwa mimi na wadada wawili, yule mama mwenye nyumba alituonea huruma akafunga mlango
 
Kusema kweli ule ujinga siwezi fanya tena kipindi kile nilikua na misimamo ya kipuuzi sana,mwisho wa siku nimekuja kusoma chuo kingine bila mkopo na mzigo wote nikawabebesha wazazi wangu

Ila rev square ni jukwaa ambalo ulitakiwa liendelezwe hadi kesho
nilipita hapo juzi kati kumeota kichaka kikubwa..hahahah unafikiri historia yenu itafutika pale??
ni kama historia ya kina ODWANG ambayo kila anaeingia pale anaikuta
tena kipindi hichi cha Magu hamna atakaedhubutu
 
Bila vile Mkuu,wengi waliokamatwa pale walisimamishwa Chuo,tulienda kuingia kwenye nyumba ya mtu bila hodi tukiwa mimi na wadada wawili, yule mama mwenye nyumba alituonea huruma akafunga mlango
Mimi mwenyewe pia nilikaribishwa na na wenye nyumba vile vile.Sikuona sababu ya polisi kutupiga mabomu ya machozi.walituambia tukae chini,tulitii amri yao.Sifahamu nini kilitokea.
 
Mimi mwenyewe pia nilikaribishwa na na wenye nyumba vile vile.Sikuona sababu ya polisi kutupiga mabomu ya machozi.walituambia tukae chini,tulitii amri yao.Sifahamu nini kilitokea.
Duuh aisee, sisi tulikimbia ila tulipopita wengi waliokuwa mbele waliumia kwasababu ya fensi
 
nilipita hapo juzi kati kumeota kichaka kikubwa..hahahah unafikiri historia yenu itafutika pale??
ni kama historia ya kina ODWANG ambayo kila anaeingia pale anaikuta
tena kipindi hichi cha Magu hamna atakaedhubutu
Yani kipindi hichi wadogo zetu wasijaribu wanaweza hata kupata ukilema wa maisha

Kipigo chake ni chakuchakaza
 
Back
Top Bottom