2011 UDSM nilinusurika kukamatwa

2011 UDSM nilinusurika kukamatwa

Mi hata simfahamu bro..Nimekuwa tu interested kujua..Sometimes kwenye maisha kuna watu wanajitoa muhanga kwa manufaa ya watu wengine lakini mwisho wa siku wanakuja kubezwa na watu haohao aliowasaidia..
Ni kweli mkuu. Infact kama kuna watu walio andika historia ya kuongezewa pesa ni hawa jamaa akiwepo al shabab.

Ukiacha wale arobain na ngapi waliokamatwa wengi walirud chuo na wengine kuruhusiwa kuaplay maika inayofuata.

Ila main organisers sijui walipotelega wapi.

Bado tunawakumbuka maana through their tears we achieved
 
Kuna bonge mmoja baada ya kupigwa bom la machozi aliingia kwenye mtaro kujificha sasa ni kichwa na sehem ya juu ya mwili ndio ipo ndani kiwili wili kipo nje.

Askari wakaja kumchomoa kirahis saana akawekwa kwenye difender maeneo ya kutokea swimming pool via shuttle poit kutokea coet
 
Ni kweli mkuu. Infact kama kuna watu walio andika historia ya kuongezewa pesa ni hawa jamaa akiwepo al shabab.

Ukiacha wale arobain na ngapi waliokamatwa wengi walirud chuo na wengine kuruhusiwa kuaplay maika inayofuata.

Ila main organisers sijui walipotelega wapi.

Bado tunawakumbuka maana through their tears we achieved
Suala la kuongezewa pesa kutoka 5,000 hadi 7,500 ni mgomo ulioongozwa na kina Mwita. Ule mgomo wa kina Alshabab labda waliongeza kwenye mambo mengine lakini sio boom
 
Hata haujui maana ya quotation marks. Swali langu ni lilelile - uliruka punctuation primary na sekondari? Unapiga stori ndio - lakini ina maana gani kuwasiliana na usieleke? Kama unawasiliana halafu haueleweki, unapoteza muda tu.
Usieleke?

Unakimbilia kutoa mchanga kwenye jicho la mwenzako wakati wew unaboriti!!!!
Shame on you
No one is perfect
 
Endelea na uandishi wako huo. Ndio maana mnaozea mtaani bila kazi. Nani atakupa kazi unaandika paragraph haina kituo. Unaandika ripoti kama text message.
Usieleke?

Unakimbilia kutoa mchanga kwenye jicho la mwenzako wakati wew unaboriti!!!!
Shame on you
No one is perfect
 
au ulikuwa unamtunuku tundaaaaaaaaaaa!.Maana si unajua tena kichuo chuo.
Alikua shemela wangu, alikua anatoka na beat yangu mganda mwenzie nadhani walikua wanatokea sehemu moja so walikua wanafahamiana
 
Mi hata simfahamu bro..Nimekuwa tu interested kujua..Sometimes kwenye maisha kuna watu wanajitoa muhanga kwa manufaa ya watu wengine lakini mwisho wa siku wanakuja kubezwa na watu haohao aliowasaidia..
Ni kweli kabisa mkuu 🙏🙏
 
Back
Top Bottom