Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
Hahaha halafu kama sijakosea huo mgomo watu wa COET kama vile walijitenga navyokumbuka ni kama vile walifunga geti lao ngwini wasiingie mule hahahamgomo wa 10000
watu walirusha chupa kwenye msafara wa kawambwa ffu walitembeza mabomu
niliumia kidole hadi leo kicha aioti vizuri
wale wahuni walirusha hadi moto ukawaka maeneo ya COET
nilikuwa 100% ya huo mgomo ulipoanza hadi kuisha