2011 UDSM nilinusurika kukamatwa

mgomo wa 10000
watu walirusha chupa kwenye msafara wa kawambwa ffu walitembeza mabomu
niliumia kidole hadi leo kicha aioti vizuri
wale wahuni walirusha hadi moto ukawaka maeneo ya COET
nilikuwa 100% ya huo mgomo ulipoanza hadi kuisha
Hahaha halafu kama sijakosea huo mgomo watu wa COET kama vile walijitenga navyokumbuka ni kama vile walifunga geti lao ngwini wasiingie mule hahaha
 
Aisee nadhani huu mgomo ndo ule hadi alikuja waziri kawambwa aisee watu walishuka mpaka kuke kwenye swimming pool jamaa yule Laizer akaanza kumuita "Kawambwaaa Kawambwaaa Kawambwaa" nimekuita mara tatu kama isingelikua Nyerere usingesoma bure, aisee baadae nakumbuka polisi wanaondoka wakaanza ku4ushiwa makopo na mawe na kuitwa form 4 failure aisee mbio zilitimuka siku ile sitasahau nimefika Hall 1 ikabidi njegere zote zikaharishwe hahahaha...ila ilisaidia boom likawa 7500 badala ya 5000 nilienjoy sana kwa kweli daaah...ila maumivu ya bodi nayasikilizia sasa hivi hatari tupu...
Anyway.. wacha tuamini tu. Mi najua 2011 ulikua olevel kama sio advance
 
Sie darasani kwetu jamaa wawili waliwasimamisha masomo wakaja kurudi chuo sie tupo mwaka wa mwisho, yani mkuu baada ya mbio zile za kutoka kule kwenye swimming pool ukichungulia nje unaiona land cruiser ya polisi ilee inafanya doria..hao jamaa wawili walifariki au?
Hapana mkuu.Wale akina Alshabab na yule mrefu wa mwanzo waliofukuzwa,walikuwa ni course mates kwenye College of Arts and Social sciences.
 
Hahaha halafu kama sijakosea huo mgomo watu wa COET kama vile walijitenga navyokumbuka ni kama vile walifunga geti lao ngwini wasiingie mule hahaha
sina kumbukumbu vizuri lakini mgomo wa 10000 ulikuwa mzito ndo pesa ikapanda mpaka leo 7500 imegota hapo sijui kama imeongezeka
 
Hapana mkuu.Wale akina Alshabab na yule mrefu wa mwanzo waliofukuzwa,walikuwa ni course mates kwenye College of Arts and Social sciences.
unamkumbuka yule aliyeandamana mwenyewe jina ni chacha kama sikosei
 
mpaka walikuja kuomba michango maana boom walikatiwa na wengine walisota humo jela midhamana ilizingua
Duuuuuuuuu.We acha Alshabab alikuwa anajilazimisha kuongea kama mzungu kwa ulimi kuupeleka kooni.😂😂😂😂😂yaani kwenye theatre ni full burudani
 
Back
Top Bottom