2011 UDSM nilinusurika kukamatwa

2011 UDSM nilinusurika kukamatwa

Dah nmetokaa mpk machozi kipindi hikii hali ilikuwa tete mno, tumefka tu chuo 2010, tukamkuta Ally Hapi (chuoni alijulkana kama Salum) mwanaharakati akatuaminisha kuwa yeye ni Mpinzani anampinga rais (Kipara) ambaye alitajwa kama mwana CCM kumbe mchumia tumbo Salum Sijui Hapi nilikuwa namuona ndumilakuwilii mnoo, mwisho wa siku kwa usaliti alioufanya alikimbia Chuoo manake raia walkuwa na Hasira nae Vibayaa ila tanzania wasaliti ni wengi mno, nakumbuka baada ya wanaharakati wengi kufukuzwa ndo wale viongozi wa Daruso namkumbuka mbusule ambae alikuwa Speaker walivosimama kututetea wakatemwa pia ila mule mule Daruso walikuwemo machizi, basii wanafunzi wakajiweka pembeni, akaibuka Ndunguru jamaa alkuwa na mwilii mkubwa, Hoja nzito nae akakamatwaa ndo akatokea Alshabaab...Huyu jamaa alkuwa Kichwa, Organiser mzurii Mno, aaaah nmemkumbka Alshabiib haaa Kizazi cha Kuhojii kilishiaa hapaa UDSM....
salumu nashangaa hili jina la hapy limetokea wapi nakosa majibu
jamaa alijifanya mwanaharakati picha yake ikaonekana gazetini akiwa dodoma kavaa sare ya chama...
gazeti likabandikwa pale cafteria ya pili baada ya manzese pale walikua wanaekaga matangazo mengi
ndo raia wakajua jamaa ni CCM
 
Tulidai 10,000 tukaongezewa ila 7,500 ila sasa hivi naskia ni 8,500 yani hadi leo haijafika 10,000 kwa siku daah ila enzi zile maisha yalikua marahisi sana yani RB 600 Wali Kitenesi(Njegere) ilikua 800 daah na juice ilikua 300 yani 3000 unaishi vizuri kabisa daah
yaani ukitaka chakula cha anasa mabibo hostel pale victoria ndo unakula cha 1000 kizuriii wali maini au nyama
 
yaani ukitaka chakula cha anasa mabibo hostel pale victoria ndo unakula cha 1000 kizuriii wali maini au nyama
Daah mabibo nilikaaga kuanzia 2nd year hadi mwaka wa mwisho kulikuaga fresh sana misosi pale kwa wale wapemba ilikua si mchezo, victoria hata siikumbuki ilikuaga ipo sehemu gani? Au ule mtaa wa nyuma ulioongozana masteshenari kama ukiwa unakula shato pori?
 
Daah mabibo nilikaaga kuanzia 2nd year hadi mwaka wa mwisho kulikuaga fresh sana misosi pale kwa wale wapemba ilikua si mchezo, victoria hata siikumbuki ilikuaga ipo sehemu gani? Au ule mtaa wa nyuma ulioongozana masteshenari kama ukiwa unakula shato pori?
huo huo hahah eti shato pori
acha kabisa lile life
 
Endelea na uandishi wako huo. Ndio maana mnaozea mtaani bila kazi. Nani atakupa kazi unaandika paragraph haina kituo. Unaandika ripoti kama text message.
Ndio "wasomi" wetu hawa waliosomea ujinga! Kuandika hawawezi, kuongea hawawezi, wala lugha yoyote hawawezi!

Tuna mainjinia (naogopa hata kuwaita mainjinia) wasioweza kujenga hata barabara ya changarawe, achilia mbali kutandika lami! Juzi mpaka kaja mchina ndio kafunga Round about!
 
Dah nmetokaa mpk machozi kipindi hikii hali ilikuwa tete mno, tumefka tu chuo 2010, tukamkuta Ally Hapi (chuoni alijulkana kama Salum) mwanaharakati akatuaminisha kuwa yeye ni Mpinzani anampinga rais (Kipara) ambaye alitajwa kama mwana CCM kumbe mchumia tumbo Salum Sijui Hapi nilikuwa namuona ndumilakuwilii mnoo, mwisho wa siku kwa usaliti alioufanya alikimbia Chuoo manake raia walkuwa na Hasira nae Vibayaa ila tanzania wasaliti ni wengi mno, nakumbuka baada ya wanaharakati wengi kufukuzwa ndo wale viongozi wa Daruso namkumbuka mbusule ambae alikuwa Speaker walivosimama kututetea wakatemwa pia ila mule mule Daruso walikuwemo machizi, basii wanafunzi wakajiweka pembeni, akaibuka Ndunguru jamaa alkuwa na mwilii mkubwa, Hoja nzito nae akakamatwaa ndo akatokea Alshabaab...Huyu jamaa alkuwa Kichwa, Organiser mzurii Mno, aaaah nmemkumbka Alshabiib haaa Kizazi cha Kuhojii kilishiaa hapaa UDSM....
afuu acheni kunitajataja humu jukwaani
 
huo huo hahah eti shato pori
acha kabisa lile life
Hahaha shato pori ukiwa unasubiria boom liunganishwe na boom jengine inabidi uporike halafu ukiziona shato unageuza sura kimtindo kabla hawajabomoa barabara ilikua ukiwa unaporika na mmetoka kwenye kipindi unaonekana live bila chenga haswa kwenye foleni yale maisha yalikua matamu sana...
 
salumu nashangaa hili jina la hapy limetokea wapi nakosa majibu
jamaa alijifanya mwanaharakati picha yake ikaonekana gazetini akiwa dodoma kavaa sare ya chama...
gazeti likabandikwa pale cafteria ya pili baada ya manzese pale walikua wanaekaga matangazo mengi
ndo raia wakajua jamaa ni CCM
Ikabidii Kusepaa nkaja kuckiaa ni mkuu wa Wilayaa
 
Ya sasa hv udsm hakuna kitu sisi tuliopo pale hakuna lolote

Siasa za kipuuzi
 
Ndio "wasomi" wetu hawa waliosomea ujinga! Kuandika hawawezi, kuongea hawawezi, wala lugha yoyote hawawezi!

Tuna mainjinia (naogopa hata kuwaita mainjinia) wasioweza kujenga hata barabara ya changarawe, achilia mbali kutandika lami! Juzi mpaka kaja mchina ndio kafunga Round about!
Mkuu ukifuatilia maisha ya JF na kutaka mtu afanye unavyotaka utapata tabu sana mkuu, kuna mtu id siiweki hapa mada zake za humu anazoandika pale MMU na status yake ni tofauti.

Fuata kilichokuleta lasivyo utaonekana umetoroka Milembe
 
Hahaha shato pori ukiwa unasubiria boom liunganishwe na boom jengine inabidi uporike halafu ukiziona shato unageuza sura kimtindo kabla hawajabomoa barabara ilikua ukiwa unaporika na mmetoka kwenye kipindi unaonekana live bila chenga haswa kwenye foleni yale maisha yalikua matamu sana...
Nikiwaona jioni wanapokatisha huwa nacheka sana
 
Back
Top Bottom