mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 614
- 322
Kaka nimeku PM kwa kukupa ushauri tafadhali nitafute ukipenda
kaka, naomba utulie sana, na wakati huu umuombe Mungu kuliko kipindi chochote ulichowahi kuomba katika maisha yako. Si siku nyingi nilileta uzi humu, wa kuwasisistiza watu kutokukatisha maisha sababu ya penzi. Kwa lugha nyepesi, maisha yako yana thamani sana mbele za Mungu kuliko unachokiwaza sasa. Na jifunze kuona kuwa mke wako amemkosea Mungu na siyo wewe, hivyo Mungu atamsamehe, na wewe unapaswa pia kumsamehe! Please nakuomba umsamehe mke wako, na ujismehe pia! Ni ngumu, lakini pia inawezekana!
Swali kwa wanaume wanaochangia humu kua amwache mkewe jee nyinyi niwasafi???hamjawai wasaliti wake zenu???au arobaini yenu haijafika???pole sana kaka.
ushauri wa maana huu mi wa kwangu nilimuona mtakatifu sana sikumoja nikanunua line mpya nikajifanya wrong nomber nikabadilisha sauti sikuamini nichoshuhudia alikubali kunipa full love tukapanga apointment akafika kwenye miadi nikashuhudia kwa macho yangu.... dah sikuhizi ndivyo walivyo nmemvumilia nukajifanya cjui na maisha yanaendelea wee mpuuze tu samehe yaishe ndoa sio mchezo nikuvumilia hatayasiyovumilika utaacha wangapi?
Jamani nimpe kwanza huyu bro wangu pole, pole sana kaka yangu, kiukweli mimi sijaoa na nlikua natafuta mke wa kuoa hata huku jf nlipost thread ya kumtafuta mke, kama mambo ndo haya natangaza rasmi sitaki kuoa tena na wala waliokua wananiPM wasiniPM tena sitaki sitaki nimesema jamaniiiiiiiiiiiiiiiii.
Hahaha unahisi ali-roast in pieces? Saa hizi atakuwa keshapata mnyonge wake wa kummegea hana stress na haihitaji jf, stuka!
Unapaswa kufahamu kuwa furaha na maisha yako ndio kitu cha muhimu kuliko huyo mke na pia kuliko wanao! Hao wanao nao watakuja kuishi maisha yao, Usikubali kuji pretend kuwa unafuraha katika ndoa wakati hauna! Achana na mkeo! Waeleze ndugu zake na zako pia kuhusu vitendo vyake ili usionekane muongo! Baada ya hapo kaishi Maisha yako, huwezi jua mungu amekupangia nini katika future yako!
"Imenenwa pia, mtu akimwacha mkewe na ampe talaka. Isipokuwa mimi nawaambia, kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa sababu ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini (Mathayo 5:31-32). Mkuu mimi nakuunga mkono, huyu Mwanamke hafai.......nanukuu kauli ya mchangiaji hapo juu "Cheat responsibly", yeye alishindwa? tupa kule anza upyami nakushauri kwa hatua aliyofikia mkeo imesababishwa na hofu na upole wako.ww ni kichwa inaonekana mkeo anasauti ndani ya nyumba kuliko ww ni mbaya sana.Toka humo chumban vaa uanaume mwambie aende huko anaponaniliwa tena mwesabie dakika,then kaka wazazi wake wapo karibu waite wambie aende kwa huyo bwana na cm usimpe kwa ajili ya ushahidi.mwache akutane na maisha kwanza na ukute ww ndo unamlisha hata huyo mwizi wako.kakosa umweleze kiupole unajua wanawake walivyo wasanii sana sana atabadili stile ya mawasiliano tu mwisho wa cku mnaishia kufa na ukimwi.