The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,409
- 1,811
Habari wakuu mm ni mzima wa afya ila naandika uzi huu nikiwa na akili nyingine sio ile impendezayo mungu na kama ntakosea basi naomba mnisamehe , nadhani nilishawahi kuleta tatizo langu humu jamvini kuhusu mambo au mwenendo wa ndoa yangu na nikapata ushauri na wengine kukejeli bila kujali ni madhara gani ntakuja kupata ila mm lengo langu lilikuwa sio kuacha au kuharibu ndoa yangu kwani naipenda familia yangu na vile vile humu jf ni sehemu nyingine yakufaham mambo amabayo huyajui kwani kuna watu wanaweza kukupa ushauri na kufanikisha kile ambacha kina kusibu.
Mr.rudi nyuma kifikra kabla hamjaoana;
1:alikuwa na tabia gani,je ulikuwa unamtilia shaka kwa mienendo yake
2:Simu yake kuwa busy mda mwingi ilianza lini na imedumu kwa mda gani
3:Suala la simu yake kuwa busy muda mwingi ulishawahi ongea naye kuhusu hilo tatizo na alisemaje...
4:Je huwa mnagombana mara kwa mara kwa mambo yasiyo ya msingi sana?
5:Huwa anakiri makosa anapofanya kosa,na je kama anakiri huwa anarudia kufanya kosa lilelile
6:Kwa unavyoona unasauti ya kifedha kwake au anakusikiliza na kutenda kila lilo jema unalomwambia bila bughudha.
7:Kuna dalili yoyote ya kukufanyia dharau hadharani au kwa kificho?
8:Kama simu yake ipo busy kiasi hicho,je unaweza kufikiri mna-share mapenzi zaidi ya watu 2?
9:Je unajali family yako zaidi,ukiachilia huyo mwanamke uliye naye?
10:Je huwezi kupata mwanamke mwingine ambaye mtaishi kwa amani ukiachilia huyo uliye naye sasa,ambaye atakuheshim wewe na family yako?????
11:Ulishawahi kum-cheat akagundua.
Ushauri:
Tafuta secret yoyote kutoka kwake iwe ya siku nyingi ambayo hujawahi muuliza au ya karibuni....muulize akikataa kata kata....UJUE NI MLIPUKO HUO,UKIKAA NAO KARIBU WAKATI SIO MWANAJESHI NA HUJUI NAMNA YA KUUTEGUA USIITE MAJIRANI UATAKAPOJERUHIWA...
Ukiweza,replay for my qn