dazipozi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 1,137
- 106
Ebwana mambo vp?dah!kama dizaini kitambo sijazama pande hizi.Autuseme sija post ***** humu Chitchat,ebwana leo ndo kijana mwenzenu,au mtoto wenu au mjukuu wenu au ata mtoto wenu piya,ndo nazariwa tarehe kama ya leo mwezi kam wa leo ila mwaka tofauti nimezaliwa miaka ya tisini tu hapo bado,Japo Mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio maana kuna mijitu humu aikawii kumbe mtoto sawa mtoto ila ningewai kuliona juwa kabla yako ningekuzaa,ok 2achanaye na hayo amkawii kusema na maneno mengi kama nimebemendwa,cha msingi thany kwa wadada wote walio ni Pm pamoja sana na wapenda sana,japo sijaona ata Pm moja ya kiume ila powa 2tazidi kufahamiana na kujuzana,Ansante