Nyamambara
JF-Expert Member
- Jan 11, 2021
- 407
- 329
Noma sanawafanye tu raid ili waethiopia waweke sumu kwenye maji wanayotegemea kunywa. yaani mimi ndio namiliki mto wewe unategemea kuyanwa maji yake halafu unaleta kibesi, si utakuwa mjinga?
Noma sanawafanye tu raid ili waethiopia waweke sumu kwenye maji wanayotegemea kunywa. yaani mimi ndio namiliki mto wewe unategemea kuyanwa maji yake halafu unaleta kibesi, si utakuwa mjinga?
Mkuu ni vile tu Rais Samia alitoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi. Ila hata angekaa ofisini ushindi wa kishindo ulikuwa lazima.Noma sana
Sio kweli ni MisriEthiopia ndio mbabe wa vita Africa nzima. Hakuna wa kumletea fyoko!
Misri amewahi kumpiga nani? Misri imetawaliwa na waturuki,waingereza nk.. Ethiopia imetawaliwa na nani? Nipe majibu mister..Sio kweli ni Misri
Hii inahusiana vp na mada yangu?Kutokuolewa sio kigezo cha kuwa bikra
Sina uhakika kama umeenda shuleHii inahusiana vp na mada yangu?
OkaySina uhakika kama umeenda shule
Aliyepigana vita ndiye mwanajeshi bora. Tanzania ina jeshi bora kuzidi Kenya kwa maana sisi tulipigana vita na Idd Amin.Ila kutokupigana vita sio kigezo cha kuwa mwanajeshi bora.
Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema wamekuwa kama Kiba wanaomchukia Diamond.Mkuu ni vile tu Rais Samia alitoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi. Ila hata angekaa ofisini ushindi wa kishindo ulikuwa lazima.
Kama Rais Samia ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera saaaana mama yetu Samia.Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema wamekuwa kama Kiba wanaomchukia Diamond.
Rais yetu mama Samia wewe ndiye tunayekutegemea kutufikisha nchi ya ahadiKama Rais Samia ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera saaaana mama yetu Samia.
Mkuu, mwambie Rais Samia kuwa Asante kwa bwawa la umeme la Nyerere.Rais yetu mama Samia wewe ndiye tunayekutegemea kutufikisha nchi ya ahadi
Mbona Rais Samia anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada wanalipiwa na Samia.Mkuu, mwambie Rais Samia kuwa Asante kwa bwawa la umeme la Nyerere.
huko Ulaya ukisema unatoka Tanzania wanaanza kukudadisi mambo mema kuhusu Rais Samia.Mbona Rais Samia anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada wanalipiwa na Samia.
Usimfananishe Rais Samia na vitu vya hovyo kama vile Lissu kibaraka wa wazungu.huko Ulaya ukisema unatoka Tanzania wanaanza kukudadisi mambo mema kuhusu Rais Samia.
Ninaomba kura yako kule katika jukwaa la stories of changeUsimfananishe Rais Samia na vitu vya hovyo kama vile Lissu kibaraka wa wazungu.
Okayhuko Ulaya ukisema unatoka Tanzania wanaanza kukudadisi mambo mema kuhusu Rais Samia.