Ethiopia Imekamilisha Kujaza Maji Bwawa lake Kubwa la Umeme. Ile Mikwara ya Egypt Kupiga Bomu Bwawa Imeishia Wapi?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,116
49,840
Nchi ya Ethiopia imekamilisha zoezi la kujaza Maji kwenye bwawa kubwa zaidi Africa la Uzalishaji Umeme ambalo lilileta mtafaruku wa kidiplomasia na usalama baina ya Egypt na Ethiopia.

Awali Misri ilisema Kama Ethiopia itaendelea na zoezi la kujaza Maji kwenye bwawa Kwa mpigo au mfululizo basi itachukua hatua zote zikiwamo za Kijeshi Ili Kulinda kile waliita mustakabali wa Nchi yake.

Madai ya Egypt ilikuwa ni kwamba ujazaji wa Maji utaathiri flow ya Mji mto Nile hivyo kupelekea shida kubwa ya maji huko Egypt na Sudan.

Hata hivyo Ethiopia ilipuuza Madai hayo na kuendelea na zoezi na Hatimaye bwawa limejaa na hakuna Maji yaliyopungua huko downstream.
Screenshot_20230929-220520_1.jpg


My Take
Hongera sana bwana Abiy Ahmed Kwa kusimamia kidete maslahi ya Yako.

Pili Nature imrwaumbua Waarabu hivyo na sisi tumejifunza kwamba tutatumis Ziwa Victoria Kwa namna tunayoweza bila kupangiwa na vikaragosi wowote.
 
bado sisi Tanzania, tunatakiwa kuleta yale maji ya ziwa victoria hadi Dodoma, na nina uhakika wala hayatapungua kama egypt wanavyodai. though kwa serikali hii ya uarabuni, sidhani kama watawasaliti waarabu wenzao kwa kuchota maji ya victoria kupelekea watanzania wanywe. bora mwarabu anywe kuliko mgogo.
 
Nchi ya Ethiopia imekamilisha zoezi la kujaza Maji kwenye bwawa kubwa zaidi Africa la Uzalishaji Umeme ambalo lilileta mtafaruku wa kidiplomasia na usalama baina ya Egypt na Ethiopia.

Awali Misri ilisema Kama Ethiopia itaendelea na zoezi la kujaza Maji kwenye bwawa Kwa mpigo au mfululizo basi itachukua hatua zote zikiwamo za Kijeshi Ili Kulinda kile waliita mustakabali wa Nchi yake.

Madai ya Egypt ilikuwa ni kwamba ujazaji wa Maji utaathiri flow ya Mji mto Nile hivyo kupelekea shida kubwa ya maji huko Egypt na Sudan.

Hata hivyo Ethiopia ilipuuza Madai hayo na kuendelea na zoezi na Hatimaye bwawa limejaa na hakuna Maji yaliyopungua huko downstream.
View attachment 2771794

My Take
Hongera sana bwana Abiy Ahmed Kwa kusimamia kidete maslahi ya Yako.

Pili Nature imrwaumbua Waarabu hivyo na sisi tumejifunza kwamba tutatumis Ziwa Victoria Kwa namna tunayoweza bila kupangiwa na vikaragosi wowote.

Basi kitakachofuata ni bwawa kupigwa bomu sasa! Ni sawa na mtu anayejenga nyumba mjini kinyume na mipango miji, huwa wanasubiri ukamilishe ujenzi kwa angalau asilimia 70-90 halafu usiku wanakuletea greda na kuishusha kubakia vifusi!
 
Kama sijakosea ni kuwa Egypt hakuzui Kabisa Bwawa lisijazwe isipokuwa alisema nilijazwe kwa Installment ili isije ika disrupt flow ya Mto nile
 
Nchi ya Ethiopia imekamilisha zoezi la kujaza Maji kwenye bwawa kubwa zaidi Africa la Uzalishaji Umeme ambalo lilileta mtafaruku wa kidiplomasia na usalama baina ya Egypt na Ethiopia.

Awali Misri ilisema Kama Ethiopia itaendelea na zoezi la kujaza Maji kwenye bwawa Kwa mpigo au mfululizo basi itachukua hatua zote zikiwamo za Kijeshi Ili Kulinda kile waliita mustakabali wa Nchi yake.

Madai ya Egypt ilikuwa ni kwamba ujazaji wa Maji utaathiri flow ya Mji mto Nile hivyo kupelekea shida kubwa ya maji huko Egypt na Sudan.

Hata hivyo Ethiopia ilipuuza Madai hayo na kuendelea na zoezi na Hatimaye bwawa limejaa na hakuna Maji yaliyopungua huko downstream.
View attachment 2771794

My Take
Hongera sana bwana Abiy Ahmed Kwa kusimamia kidete maslahi ya Yako.

Pili Nature imrwaumbua Waarabu hivyo na sisi tumejifunza kwamba tutatumis Ziwa Victoria Kwa namna tunayoweza bila kupangiwa na vikaragosi wowote.


Amesaidiwa na mafuriko
 
bado sisi Tanzania, tunatakiwa kuleta yale maji ya ziwa victoria hadi Dodoma, na nina uhakika wala hayatapungua kama egypt wanavyodai. though kwa serikali hii ya uarabuni, sidhani kama watawasaliti waarabu wenzao kwa kuchota maji ya victoria kupelekea watanzania wanywe. bora mwarabu anywe kuliko mgogo.

Nashangaa hadi leo serikali imeshindwa kuukamilisha huo mradi na hakuna anayeusemea.
 
bado sisi Tanzania, tunatakiwa kuleta yale maji ya ziwa victoria hadi Dodoma, na nina uhakika wala hayatapungua kama egypt wanavyodai. though kwa serikali hii ya uarabuni, sidhani kama watawasaliti waarabu wenzao kwa kuchota maji ya victoria kupelekea watanzania wanywe. bora mwarabu anywe kuliko mgogo.
Utakuwa ni upumbavu, Victoria inalishwa na mito ya Tanzania lkn inalisha Misri na Watanzania hawaruhusiwi kuyatumia.
 
..Ni UBAGUZI ndio unawasumbua Egypt.

..Haiwezekani Egypt ineemeke kwa maji ya Blue Nile wakati Waethiopia wakitaabika kwa umasikini ambao ungepunguzwa kwa matumizi bora ya maji ya mto huo.

Kwa hili namsifu Mh E.N Lowassa. Akiwa Waziri wa Maji alisimama kidete na ' riparian states' kuhusu matumizi ya Maji ya Mto Nile na Ziwa Victoria. Maji yanayotoka mikoa ya kati kutoka Victoria ni Jeuri ya Lowassa na Mkapa.
KwA ahili tuwape pongezi zao

Egypt walipiga mkwara kama kuna kitu kitaipeleka katika Vita ni suala la Nile na Ziwa Vitoria.
Mkwara haukufika popote, tukaona wanakuja eti kuchimbia visima virefu

Yaani Egypt watumie maji kwa umwagliaji, watu wetu wafe njaa halafu wachimbiwe mashimo!

Ukaribu wa El Sisi na Rais SSH ni kwa kutambua Tanzania ni mdau muhimu sana katika Riparia states.

Kwasasa ni too late, Rusumo inafanya kazi, GERD imejaa!
 
Back
Top Bottom