17 wajeruhiwa katika shambulizi la hospitali ya kujifungua Ukraine - maafisa

Walipewa taarifa waondoke sio??? Vita lazima kuna spy anayetoa taarifa kabla ya shambulizi.

Nakuuliza swali si umeona picha ya hospital???? Kwa jinsi ilivyo wangepona wooote halafu uone kamama kamoja kajakazito kamebebwa
Pro-westerners bhana
Nadhani uelewa mdogo Israel kabla ya kuvurumisha mikombora ile majengo iliomba waandishi wa habari waliopanga yale majengo waondoke haikuomba wanajeshi wenye silaha nzito walio majengo yale waondoke
Walijua ni wajibu wao kulinda majengo ya Palestina

Wanasema ondokeni raia tubaki sisi na hao walinzi makomandoo wenye silaha nzito wenu walinda hayo majengo wenye silaha nzito!! Tangazo tu kutokea the so called waandishi wakakimbia na the so called raia wapangaji wakakimbia na the so called walinzi wa jengo wakati ni makomandoo wakakimbia Chezea myahudi wewe.Mijengo ikavurumishwa na mikombora bila kifo hata kimoja

Russia anataka eti wanajeshi waondoke kwanza!! Kwenye majengo walipoo Raia !! Ohh wanawatumia raia kama human shield!!!

Russia bwege akitaka kushambulia jengo anataka wanajeshi waondoke kwanza !! Ili aue raia!!
 
Nadhani uelewa mdogo Israel kabla ya kuvurumisha mikombora ile majengo iliimba waandishi wa habari waliopanga yale majengo waondoke haikuomba wanajeshi wenye silaha nzito walio majengo yale waondoke
Walijua ni wajibu wao kulinda majengo ya Palestina

Wanasema ondokeni raia tubaki sisi na hao walinzi makomandoo wenye silaha nzito wenu walinda hayo majengo wenye silaha nzito!! Tangazo tu kutokea the so called waandishi wakakimbia na the so called raia wapangaji wakakimbia na the so called walinzi wa jengo wakati ni makomandoo wakakimbia.Mijengo ikavurumishwa na mikombora bila kifo hata kimoja
Russia anataka eti wanajeshi waondoke kwanza!! Kwenye majengo walio Raia !!

Russia bwege aakitaka kushambulia jengo anataka wanajeshi waondoke kwanza !! Ili aue raia
Huwa nakuona mkubwa ila naanza kuwa na wasiwasi nimekupa scenario ya "kutoa taarifa kabla ya kushambulia sehemu ambayo ina raia" kumbuka lile jengo walikuwa wanalitulia HAMAS (wapiganaji) kama ilivyo Ukraine ambapo wapiganaji(wanajeshi) walijificha kwenye jengo la kiraia.


Nini ambacho huelewi??
 
Wewe uliona wapi askari aliye vitani asiwe mkatili? Kwa waliopita depo watanielewa.
Jeshi maana yake ufe wew au afe adui? Kutakuwa na kuchekeana hapo mtu unaona kifo mbele yako?
Mkiambiwa ombeeni amani ya Tanzania, ombeeni vizuri.
Amani ni tunda la haki hamna njia mbadala ya kupata amani.
 
Vitani hakuna mwema si tu warusi hata we'we ungekuwa soldier mafunzoni ungefundishwa ukatili was kuua kikatili bila huruma. Unapomhurumia adui yako unaharakisha kifo chako mapema. Adui dawa yake risasi bila huruma.
Mfano kule Vietnam Us walifanya mauaji ya kikatili katika Kijiji Cha Mailay. Hayo mauaji yakaitwa Mailay massacre. Walifanya hivyo ili kumuepuka adui mwenye nguo za kiraia
Nonsense.
 
Umeandika utoto Askari wa Ukraine wana uhuru wa kukaa popote wako nchini mwao huwezi wapangia wakae wapi

Wao ni Raia halali wa Ukraine waweza kaa kambini ,hospitalini,wodini au vyuoni au popote wako ndani ya nchi yao utawapangiaje kuwa wakae wapi.

Unaungana na huo ujinga wa warusi? Wao kukaa hata hospitali sawa tu si wanalinda hospitali zao kosa lao nini kukaa kulinda majengo yao zikiwemo hospitali?

Eti unawaambia tokeni hapo hospitali malipo mnapolinda majengo vyenu ya hospitali na kulinda madaktari na manesi wasidhuriwe tokeni.Watoke ili uvurunishe makombora uue madaktari ,manesi,wagonjwa nk

Askari wa Ukraine walikuwa sahihi kuweka wanajeshi kulinda hospitali zao

Alichofanya Russia hapo ni uhalifu wa kivita dhidi ya majengo ya kiraia
Wewe huna point bwana, Daudi mwenyewe alimkimbia Sauli , Hadi Sauli alipofariki ndio Daudi alirudi kwao. Kitu gani unachoshindwa kuelewa hapo wewe unayeijua Biblia??
 
Ambaye hajui historia ya Russians wakiwa vitani ndio anaweza akapinga madai hayo. Nikikumbuka vile vita vya warusi kule Chechnya katikati ya miaka ya tisini na Georgia mwaka 2008 siwezi kupinga warusi ni jamii ya watu makatili sana.
Walichokifanya huko Allepo (Syria) huenda kikajirudia huko Ukraine.
 
Umeandika utoto Askari wa Ukraine wana uhuru wa kukaa popote wako nchini mwao huwezi wapangia wakae wapi

Wao ni Raia halali wa Ukraine waweza kaa kambini ,hospitalini,wodini au vyuoni au popote wako ndani ya nchi yao utawapangiaje kuwa wakae wapi.

Unaungana na huo ujinga wa warusi? Wao kukaa hata hospitali sawa tu si wanalinda hospitali zao kosa lao nini kukaa kulinda majengo yao zikiwemo hospitali?

Eti unawaambia tokeni hapo hospitali malipo mnapolinda majengo vyenu ya hospitali na kulinda madaktari na manesi wasidhuriwe tokeni.Watoke ili uvurunishe makombora uue madaktari ,manesi,wagonjwa nk

Askari wa Ukraine walikuwa sahihi kuweka wanajeshi kulinda hospitali zao

Alichofanya Russia hapo ni uhalifu wa kivita dhidi ya majengo ya kiraia
Ukrain iombe po tu, nje ya hapo Zelensk ajiuzulu, Uraisi sio maigizo, unabeba maisha ya watu. Alipaswa kuielewa nchi yake na sio kusikiliza ya kuambiwa na mikataba ipo wazi hata tusio majilani na Urusi tunaielewa. Leo hii anasimama peke yake. Akome!
 
Umeandika utoto Askari wa Ukraine wana uhuru wa kukaa popote wako nchini mwao huwezi wapangia wakae wapi

Wao ni Raia halali wa Ukraine waweza kaa kambini ,hospitalini,wodini au vyuoni au popote wako ndani ya nchi yao utawapangiaje kuwa wakae wapi.

Unaungana na huo ujinga wa warusi? Wao kukaa hata hospitali sawa tu si wanalinda hospitali zao kosa lao nini kukaa kulinda majengo yao zikiwemo hospitali?

Eti unawaambia tokeni hapo hospitali malipo mnapolinda majengo vyenu ya hospitali na kulinda madaktari na manesi wasidhuriwe tokeni.Watoke ili uvurunishe makombora uue madaktari ,manesi,wagonjwa nk

Askari wa Ukraine walikuwa sahihi kuweka wanajeshi kulinda hospitali zao

Alichofanya Russia hapo ni uhalifu wa kivita dhidi ya majengo ya kiraia
basi washapewa haki zaidi
nawakiambiwa tena maranyengine wakaidi
tutawapelekea moto popote watakapojifichia
mkiona wanaonewa nendeni mkatoe msaada ruhsa
uhalifu wa kivita sawa kawashtakini msilalamike lalamike
 
Ni kweli

Iko hivi Russia kuna uhaba mkubwa wa ajira
Hivyo nafasi nyingi za kazi zilikuwa jeshi la Russia

Kilichofanyika watoto wengi wa vigogo ambao wazazi wao ni vigogo serikalini,bungeni na Jeshini na wanasiasa wakubwa,na ndugu zao ndio walipata hizo ajira.Watoto wa wanyonge wakakosa wakaishia tu kujitolea JKT
Ok wakajaza mitoto yao kuku wa mdondo jeshini waliokulia maisha ya raha wasio jua shida kuwa wanajeshi

Vita na Ukraine ilipolipuka kila mzazi kigogo wa Russia hataki mwanawe aende vitani na mitoto wenyewe haitaki inaogopa vita!!! Ajira jeshini yanataka ila kupigana vita hayataki !! ndipo Putin na vigogo wenzie wakasukumiza hao wa JKT ndio wakapigane ili mitoto yao ibaki salama !!! Wananchi wa kawaida ndipo wakaanza kupiga yowe baada ya kuona watoto wao wanauawa mno Ukraine. Wakaandamana kumpinga Putin kuwa rudisheni watoto wetu hao wa JKT pelekeni hao wenu wanenu mliowaajiri kiupendeleo kama professional soldiers ndio wakapigane huko Ukraine !!
hatutishiki na propaganda sisi tunatoa dozi kulingana namaradhi alonayo mgonjwa
 
Walikuwa wanalinda mali za hospitali,usalama wa madaktari,manesi na wagonjwa wasidhurike huduma zikiendelea

Ni sahihi Askari wa Ukraine kulinda hospitali zao Hakuna kosa ndio kazi ya Jeshi kulinda mali za raia na raia wenyewe wawe hodpitalini ,mashuleni,na popote.

Jeshi la Russia wapumbavu walitakaje wanajeshi wasilinde hospitali zao za Ukraine?
wakalinde huko kuzimu walipoenda shenzi kabisa hawa
 
Wanajeshi wengi wa Ukraine sasa hivi hawavai tena sare za jeshi hivyo huwezi kuwatambua kihivyo.

Russia wanakufa maji baada ya malengo yao kushindwa kutimia pamoja na hasara kubwa waliokwisha pata na wanayoendelea kupata hadi kuamua sasa kuua raia hovyo.
huko juu umesema hawavai sare hapa chini unasema wanaua raia
pengne hao raia ndio hao majeshi walovua gwanda
watapigwa mpaka wakome yaani
 
Huwa nakuona mkubwa ila naanza kuwa na wasiwasi nimekupa scenario ya "kutoa taarifa kabla ya kushambulia sehemu ambayo ina raia" kumbuka lile jengo walikuwa wanalitulia HAMAS (wapiganaji) kama ilivyo Ukraine ambapo wapiganaji(wanajeshi) walijificha kwenye jengo la kiraia.


Nini ambacho huelewi??
Sawa Israel haikutoa matangazo kuwa wanajeshi wa hamas waondoke walisema kuwa Hamas hata wamebaki poa kitakachokuta .Mbona waliungana na waandishi wa habari kutimua mbio!!
 
Tatizo nini wako nchini mwao

Ulinzi wa nchi ni wa kila mu Ukraine

Mu Ukraine Raia anamlinda mwanajeshi na mwanajeshi anamlinda raia.
Wanalindana wako nchini mwao kila mmoja skimlinda mwenzie dhidi ya mashambulizi ya muuaji Mrusi

Urusi wakiua Raia muukraine Jeshi linalia na wananchi Ukraine wanalia.Mwanajeshi akiuawa wanajeshi ukraine wanalia na raia wa Ukraine wanalia nao pamoja na jumuiya ya kimataifa Iinalia nao wanamuongezea vikwazo mrusi.Solidarity ya uhakika
Basi wasilalamike watulie mmekaa na wanajeshi likipigwa kombora mnakufa wote
 
Jeshi walinda hospitali wa Ukraine ndio wamesaidia kulinda wagonjwa wao na kupunguza vifo na majeruhi japo 17 wameumia

Fikiria Jeshi shujaa la Ukraine wasingelinda hiyo Hospitali hali ingekuwaje

Napingeza Jeshi la Ukraine kwa kazi kubwa wamefanya kwenye hiyo hospitali kulinda madaktari, manesi na wagonjwa kuokoa muuaji ya kimbari kwenye hiyo hospitali ya wagonjwa,madaktari na manesi

Sawa jengo wauaji warusi wamebomolea mbali cha msingi maisha ya wagonjwa,madaktari na manesi yamenusurika

Jeshi shupavu la Ukraine limetekeleza wajibu wake.Hongera Jeshi la Ukraine
Kwahyo jeshi wamelinda hospital kombora likashindwa kuleta madhara
 
Ni kweli

Iko hivi Russia kuna uhaba mkubwa wa ajira
Hivyo nafasi nyingi za kazi zilikuwa jeshi la Russia

Kilichofanyika watoto wengi wa vigogo ambao wazazi wao ni vigogo serikalini,bungeni na Jeshini na wanasiasa wakubwa,na ndugu zao ndio walipata hizo ajira.Watoto wa wanyonge wakakosa wakaishia tu kujitolea JKT
Ok wakajaza mitoto yao kuku wa mdondo jeshini waliokulia maisha ya raha wasio jua shida kuwa wanajeshi

Vita na Ukraine ilipolipuka kila mzazi kigogo wa Russia hataki mwanawe aende vitani na mitoto wenyewe haitaki inaogopa vita!!! Ajira jeshini yanataka ila kupigana vita hayataki !! ndipo Putin na vigogo wenzie wakasukumiza hao wa JKT ndio wakapigane ili mitoto yao ibaki salama !!! Wananchi wa kawaida ndipo wakaanza kupiga yowe baada ya kuona watoto wao wanauawa mno Ukraine. Wakaandamana kumpinga Putin kuwa rudisheni watoto wetu hao wa JKT pelekeni hao wenu wanenu mliowaajiri kiupendeleo kama professional soldiers ndio wakapigane huko Ukraine !!
JKT ni Tanzania unafanya niwe na wasiwasi na maelezo yako.

Huko ulipopata taarifa hiyo hawakutaja hicho kitengo kinaitwaje kule Urusi?

Uache kutumia JKT unaonekana mbabaishaji mkuu

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Sawa Israel haikutoa matangazo kuwa wanajeshi wa hamas waondoke walisema kuwa Hamas hata wamebaki poa kitakachokuta .Mbona waliungana na waandishi wa habari kutimua mbio!!
Pale ishu ilikuwa HAMASI na JENGO maana location yake ilikuwa na Advantage kwa hamas kuvurumisha makombora.

Sasa wameambiwa waandishi waondoke maana kinachofuata Hamas wanakijua we ulitaka wabaki ili wageuzwe mqjivu ni mwendo tu
 
JKT ni Tanzania unafanya niwe na wasiwasi na maelezo yako.

Huko ulipopata taarifa hiyo hawakutaja hicho kitengo kinaitwaje kule Urusi?

Uache kutumia JKT unaonekana mbabaishaji mkuu

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Wewe ndie hujui JKT ni Jeshi la kulenga taifa kirefu yako nchi nyingi duniani Urusi pia
Putin amekuwa kuwatumia vitani

(CNN)Russia's Ministry of Defense has confirmed that Russian military conscripts have been involved in the invasion of Ukraine and that some were taken prisoner by Ukrainian forces, just a day after President Vladimir Putin insisted conscripts were not part of the assault.

The ministry admitted that conscripts were "discovered" in Ukraine but claimed they have already been withdrawn and returned to Russia.

"Unfortunately, several facts of the presence of conscripts in the units of the Russian armed forces involved in the conduct of a special military operation on the territory of Ukraine were discovered," Defense Ministry spokesperson Igor Konashenkov said in a video message.

A day earlier, in an International Women's Day address, Putin had reassured soldiers' mothers and wives that Russian conscripts are not taking part in his invasion of Ukraine, which he has referred to as a "special military operation."

"I understand how you're worrying for your beloved ones ... I emphasize that conscript soldiers are not participating in hostilities and will not participate in them," Putin said, reported Reuters. "And there will be no additional call-up of reservists."

The Russian President stated that only "professional military personnel" were involved in the invasion. He also said on March 5 that there were no plans to enlist conscripts to fight in the war in Ukraine.
Konashenkov claimed Wednesday that Russian conscripts have been returned to Russia. "Almost all such servicemen have already been withdrawn to the territory of Russia," he said.
But he added that some conscripts have been captured by Ukrainian forces. "At the same time, a sabotage group of the national battalion attacked one of the units performing the tasks of logistical support. A number of servicemen, including conscripts, were captured," Konashenkov said.
"At present, comprehensive measures are being taken to prevent the deployment of conscripts to combat areas and the release of captured servicemen," he said.
According to audio recordings of calls made to a Ukrainian government-run hotline, which were shared exclusively with CNN, many Russian soldiers seemed not to have known what the plans for them were, or why they were being deployed.
The recordings bolster reports of Russian soldiers being denied communication with their families.
View on CNN
 
Wewe ndie hujui JKT ni Jeshi la kulenga taifa kirefu yako nchi nyingi duniani Urusi pia
Putin amekuwa kuwatumia vitani

(CNN)Russia's Ministry of Defense has confirmed that Russian military conscripts have been involved in the invasion of Ukraine and that some were taken prisoner by Ukrainian forces, just a day after President Vladimir Putin insisted conscripts were not part of the assault.

The ministry admitted that conscripts were "discovered" in Ukraine but claimed they have already been withdrawn and returned to Russia.

"Unfortunately, several facts of the presence of conscripts in the units of the Russian armed forces involved in the conduct of a special military operation on the territory of Ukraine were discovered," Defense Ministry spokesperson Igor Konashenkov said in a video message.

A day earlier, in an International Women's Day address, Putin had reassured soldiers' mothers and wives that Russian conscripts are not taking part in his invasion of Ukraine, which he has referred to as a "special military operation."

"I understand how you're worrying for your beloved ones ... I emphasize that conscript soldiers are not participating in hostilities and will not participate in them," Putin said, reported Reuters. "And there will be no additional call-up of reservists."

The Russian President stated that only "professional military personnel" were involved in the invasion. He also said on March 5 that there were no plans to enlist conscripts to fight in the war in Ukraine.
Konashenkov claimed Wednesday that Russian conscripts have been returned to Russia. "Almost all such servicemen have already been withdrawn to the territory of Russia," he said.
But he added that some conscripts have been captured by Ukrainian forces. "At the same time, a sabotage group of the national battalion attacked one of the units performing the tasks of logistical support. A number of servicemen, including conscripts, were captured," Konashenkov said.
"At present, comprehensive measures are being taken to prevent the deployment of conscripts to combat areas and the release of captured servicemen," he said.
According to audio recordings of calls made to a Ukrainian government-run hotline, which were shared exclusively with CNN, many Russian soldiers seemed not to have known what the plans for them were, or why they were being deployed.
The recordings bolster reports of Russian soldiers being denied communication with their families.
View on CNN
Kwenye makala ya Kingereza wapi wameandika JKT nimeangalia sijapaona.

Wewe umepaona?



Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli

Iko hivi Russia kuna uhaba mkubwa wa ajira
Hivyo nafasi nyingi za kazi zilikuwa jeshi la Russia

Kilichofanyika watoto wengi wa vigogo ambao wazazi wao ni vigogo serikalini,bungeni na Jeshini na wanasiasa wakubwa,na ndugu zao ndio walipata hizo ajira.Watoto wa wanyonge wakakosa wakaishia tu kujitolea JKT
Ok wakajaza mitoto yao kuku wa mdondo jeshini waliokulia maisha ya raha wasio jua shida kuwa wanajeshi

Vita na Ukraine ilipolipuka kila mzazi kigogo wa Russia hataki mwanawe aende vitani na mitoto wenyewe haitaki inaogopa vita!!! Ajira jeshini yanataka ila kupigana vita hayataki !! ndipo Putin na vigogo wenzie wakasukumiza hao wa JKT ndio wakapigane ili mitoto yao ibaki salama !!! Wananchi wa kawaida ndipo wakaanza kupiga yowe baada ya kuona watoto wao wanauawa mno Ukraine. Wakaandamana kumpinga Putin kuwa rudisheni watoto wetu hao wa JKT pelekeni hao wenu wanenu mliowaajiri kiupendeleo kama professional soldiers ndio wakapigane huko Ukraine !!
umeshakutana na wa Russia wapi wanatafuta ajira?
Do you know changamoto za ajira ndizo zinazowafanya wazungu wengine kuzagaa kwetu na nchi zingine za ki Africa?
Unaongea kama Askari wa ki Ukrain aliyekoswakoswa na bomu.. wewe vipi? Punguza jazba fungua ufahamu wako uelewe.
 
Back
Top Bottom