dimatteo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 868
- 935
hehehe..chaka siopoa yani,daah niliondokaga nikaenda Moro nikakaa kama miaka 7 ile kurudi nilipotea aiseePindi hilo kuelekea buza ni chaka hatari
hehehe..chaka siopoa yani,daah niliondokaga nikaenda Moro nikakaa kama miaka 7 ile kurudi nilipotea aiseePindi hilo kuelekea buza ni chaka hatari
We mkuye.. Wewe [emoji15]nilikuwa juu yakiuno cha mke wangu
Pole sana chief.
Hahahaha, alizingua uyu alikubania papa kimtindoKuna demu nilikuwa nina ahadi nae eti akaghairi kwamba ana majonzi kafiwa na baba wa taifa
hehehe..chaka siopoa yani,daah niliondokaga nikaenda Moro nikakaa kama miaka 7 ile kurudi nilipotea aisee
Nilikuwa Mafinga sec! Siku hiyo tulikuwa ziara ya kimasomo Kalenga kuona fuvu la Mkwawa! Nakumbuka nyimbo za Kapten Komba, sijui alizitunga muda gani?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] , aiseeeNdo nlikuwa natika kwenye kaptula ya baba kwenda tumboni kwa mama
nimekumic kweli kweliWe mkuye.. Wewe [emoji15]
Nimeipenda Sana maisha yako ya shule**** primary school Mtwara,tumeshapiga paper ya standard seven tunafanya mazoezi ya mahafali,mara paap kengele ya dharula inagonga muda huo mi nipo juu ya mnazi wa shule naangusha madafu,wahuni wenzangu wapo chini wanayafua hahahaa basi tukakusanyika fasta assembly shule nzima,mwalimu mkuu Mama Mwangata anatangaza kwamba nyerere kafariki,wanafunzi wa madarasa ya chini wanalia kwa sauti,walimu wanawatuliza kwamba hakutakua na vita tulieni,that was 14/10/1999...
Mi hata sijakumiss maneno yako[emoji3] [emoji3] , naskia 1999 ulikua hata hujazaliwa?nimekumic kweli kweli
Heshima yako Mkuu, kama ulikuwa kidato cha sita, nakumbuka mm nilikuwa dalasa la saba, sikumbuki kama tulikuwa tumefanya mitahani ya kuhitimu au ilikuwa bado ila ilikuwa kwenye purukushani za kumaliza dalasa la saba, nakumbuka tukawa tunajazwa hofu ya kutokea vita kati ya TZ na Nchi Jirani! Dah long time sana Shule ya Msingi Mwenge Kasulu!