zitto

  1. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwanini Zitto Kabwe anataka watu wapoteze muda kujadili viporo vya IPTL/ESCROW wakati huu?

    Ni kwamba Zitto Kabwe hajui wazi hakuna mtu mwenye akili timamu mwenye muda wa kufuatilia tena na IPTL/ESCROW nyakati hizi, hakuna mtu mwenye akili timamu atakayefuatilia suala ambalo inajulikana hakuna pesa zilizokwapuliwa zinazoweza kurujeshwa tena au mtu yeyote aliyekwapua atakayewajibishwa...
  2. Tajiri wa kinyankole

    JamiiForums Tanzania Zitto Zuberi Kabwe: Yeyote atakayemsaidia Seth katika sakata la IPTL ataanguka naye

    Kiongozi mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo na mtaalamu wa uchumi, Zitto Kabwe, ametoa onyo kali kwa watu wote- ndani na nje ya Serikali wanaojihusisha au kupanga kumsaidia mfanyabiashara Harbinder Seth katika madai yanayohusiana na fedha za umma zilizotokana na sakata la IPTL na Akaunti ya...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe anatoa tamko, asema Seth amemfungulia kesi, atakiwa kulipa bilioni kadhaa

    https://www.youtube.com/watch?v=lWxel_pUiVk Kiongozi Mkuu mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa zamani Zitto Kabwe amefunguliwa Kesi na Harbinder Singh Seth akidaiwa kumkashifu mtu huyo na kumvunjia heshima mbele ya jamii. Akizungumza na wanahabari leo Zitto Kabwe amesema kuwa kesi...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Baba Levo ajitosa Ubunge Kigoma, anajiweza kweli kuchuana na Zitto Kabwe?

    Aloooo, kweli uchawa unaenda kuharibu nchi, na kimasihara anaweza 'kumshinda' Zitto🤣🤣 kama jinsi wagombea 'walivyoshinda' viti 2020! Wana Kigoma tutawashangaa sana kura zikienda kwa chawa, itabudi tuingie kwenye rekodi ya Guiness ya kuwa wapumbavu wa Dunia! === Msanii na Mtangazaji maarufu...
  5. Dr Akili

    JamiiForums Tanzania Huyu kweli alikuwa kibaraka (mercenary) wa mabeberu. Kwa Lipumba, Seif, Mbowe, Zitto nk mabeberu wailikuwa kimya

    Kukamatwa kwa huyu jamaa yetu kumethibitisha bila kuacha shaka kuwa kweli mtu huyu alikuwa ni kibaraka (mercenary aka puppet) wa mabeberu fulani wa huko ulaya. Hao ndiyo walikuwa wakimpa kiburi cha kufanya na kuogea machafu dhidi ya serikali yetu na viongozi wa juu wa serikali yetu. Kiburi hicho...
  6. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zitto: Tuwalinde Wanawake kwenye Siasa

    Akionekana kutofurahia baadhi ya kauli, picha na maandiko mbalimbali mitandaoni, kwenye kile alichokiita kama Makelele ya mwenye siasa na yenye kuwahusu wanawake wanasiasa, Mwanasiasa Zitto Kabwe ambaye pia ni mtia nia ya Ubunge kupitia ACT Wazalendo kwenye uchaguzi Mkuu wa 2025, ametuma...
  7. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Zitto ni mjanja sana, Ofisi za ACT Wazalendo mikoani zina picha yake ukutani na sio picha ya Kiongozi wa sasa Dorothi Temu

    Staili za Vladimiri Putini wa Urusi.
  8. lost files

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zitto kugombea Ubunge: Rasmi ACT na CCM waungana kupinga mabadiliko No Reform No Election

    Huyu Jamaa Ni mtu hatari Sana kwenye siasa za upinzani,ukifatilia historia yake ya usaliti,kuvujisha texts,misimamo yake, utagundua kua anakula meza moja na watesi.. katika maandamano yake ya Jana ya kutangaza Nia ya kugombea ubunge Hakukua na polisi wala mgambo Kama wanavyofanyiwa wapinzani...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Ya Zitto Kabwe kugombea ubunge, je kaambiwa ataachiwa jimbo? Kwanini serikali na polisi wanamuonea Mdude Nyagali? Amekosa nini?

    Yaliyotokea wiki hii...Mdude alivamiwa na polisi akiwa amelala na mkewe, akapigwa sana bila kosa na kuchukuliwa kupelekwa kusikojulikana. Kwa maelezo ya mkewe, Waliomchukua ni polisi na kutokomea naye, walimpiga kichwani na kitu kizito na akapoteza damu nyingi. Uwezekano wa kupona ni mdogo sana...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Mhe. Zitto atakuwa na waganga qa jadi wenye uwezo wa kupambana na watesi wake. Hajamwanchia Mungu.

    Mwanasiasa wa Pakistan Tengeneza makazi ya wazi na ya siri Usile kizembe Tembea na silaha za jadi na miliki kihalali silaha za kisasa Tafuta waganga wenye uwezo wa Kuuwa mtu akikuumiza,kukusingizia kesi aliyekukamata hakimu aliyekuhukumu wakili anayetetea maovu usimuachie Mungu
  11. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Miaka 15 niliyokuwa mbunge Wizara ambazo mijadala ya bajeti huwa ni vita ni Wizara ya Nishati, Mwaka huu imepitishwa bila mikwaruzano

    Katika muda wa miaka 15 niliyokuwa mbunge miongoni mwa Wizara ambazo mijadala ya bajeti huwa ni vita ni Wizara ya Nishati tangu wakati inaitwa Nishati na Madini. Mwaka huu naona bajeti imepitishwa bila mikwaruzano yeyote. Nilipata kusema huko nyuma kuwa Waziri Dotto Biteko ni 'Simba mwendapole'...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa waliohama CHADEMA ni wengi sana; kwanini ni Zitto tu anayefuatwa kishari zaidi na wana CHADEMA

    Aseme nini Zitto asishambuliwe na wanachadema? Akae kimya vipi Zitto asishambuliwe na wanachadema? Wanachadema wengi sana wamehama Chama hicho na kwenda vyama vingine. 2015 Hadi 2020 ikitia fora katika uhamaji. Kati yao wengi wameenda ccm na kuwa viongozi kabisa huko...........mashinji...
  13. Terrible Teen

    JamiiForums Tanzania Kwenye Siasa za Compromisation, Mbowe na Zitto ni Mapacha Wanaofanana

    Kwa nafasi yangu nimefanya kazi kwa wakati tofauti na Mbowe na Zitto niseme tu hawa jamaa wanafanana sana kwenye siasa za kulinda maslahi yao binafsi. Wakati wa jakaya, ZZK ametumika sana kufanya siasa za kumaliza watu wa CCM kwa kutumia Kamati za Bunge huku yeye akıla vinono. Hali kadhalika...
  14. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Zitto Kabwe: Kwa chaguzi tatu mfululizo thamani ya kura imepotea, tumechapwa kibao kikali sana cha usoni

    "Kwa chaguzi tatu mfululizo thamani ya kura imepotea. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hakukuwa na kura, takribani wagombea wote wa upinzani walienguliwa. Mwaka 2020 tuliona kwa mara ya kwanza kura feki zikizagaa hovyo barabarani. Mwaka 2024 wakafanya kama mwaka 2020" "Matumaini yote tuliyokuwa...
  15. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: IPTL ni dude linalofufuliwa kila Awamu

    Soma, Pia: CAG: TANESCO wanadaiwa Tsh. Bilioni 238 na IPTL – Deni la Tsh. Bilioni 111, Tsh. Riba Bilioni 127 IPTL dude linalofufuliwa kila Awamu. Mahakama ilishamaliza suala hili tena mahakama ya rufaa. Kampuni haipaswi hata kuwepo kwenye rejesta ya BRELA. Yeyote anayethubutu kurudisha mzimu...
  16. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kwa Zitto Kunang'ara na Daku Lake la Ramadhani Linang'ara

    KWA ZITTO KUNANG'ARA NA DAKU LA RAMADHANI LINANG'ARA Zitto hajaacha kunishangaza kila siku. Nilikuwa na hamu ya kuingia ndani ya Restaurant niangalie na kupiga picha. Lakini kitu kimoja kilinifanya nishindwe. Ndani ni sehemu ya faragha na nikahofia nisiingie ndani nikaingilia faragha za wateja...
  17. A

    JamiiForums Tanzania Kwanini Zitto Kabwe anasapoti vita ya Rwanda ya M23 dhidi ya Congo?

    Huyu kiongozi mkuu mstaafu wa ACT wazalendo mzaliwa wa kigoma, Mwami Zitto Kabwe ukifuatilia tweets zake zote ni anasapoti kile wanachokifanya Rwanda kupitia M23 nchini Congo. Anajaribu kuleta utetezi wa kihistoria ambao hata kagame ni kama hautaki. Kagame analazimisha Congo 🇨🇩 wakae chini...
  18. Rula ya Mafisadi

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Tangu Mbowe anifukuze nimeanzisha Chama na Kinaongoza Serikali Kina Wabunge Wengi Zaidi yake nimestaafu na Sasa nalima Kahawa

    Mbowe ameumiza watu wengi sana kwenye hizi siasa za Upinzani safari hii asiruhisiwe kabisa. Mzee Mbowe Kamfukuza Zitto Kabwe Kisha jamaa kaanzisha chama Cha ACT Wazalendo Sasa Kinaongoza Serikali na kaamua kustaafu Mzee Mbowe yeye bado anafukuzia miaka ya MKwewe ili kustaafu (68)
  19. J

    JamiiForums Tanzania Mbowe avurugwa, Zitto Kabwe asema MTU pekee anayeweza kuelezea kufukuzwa kwake Chadema ni John Heche Kwa sababu ndiye aliyemtetea Mwanzo - Mwisho!

    Aliyekuwa Naibu katibu mkuu wa Chadema Mh Zitto Kabwe amesema MTU pekee mwenye credibility ya kuizungumzia kufukuzwa kwake Chadema ni Mh John Heche Kwa sababu ndiye mjumbe wa CC aliyesimama kidete kumtetea Zitto Kabwe ameongea Ukurasani kwake X Ahsanteni 🐼😂🔥
  20. K

    JamiiForums Tanzania Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    Wakuu, inasemekana Zitto Kabwe ali-post facebook hii kitu halafu aka-edit later. Original post: "Lissu anasema nimepewa magari 2 na Mzee Mkono. Anasema kaambiwa na Mkono. NaaminiMkono alimwambia pia mwaka 2005 alimpa Freeman Aikaeli Mbowe tshs 40m ili Mbowe asifanye kampeni Musoma vijijini...
Back
Top Bottom