Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,797
- 11,959
Muwakilishi wa Jimbo la Mtoni, Mh: Hussein Ibrahim Makungu (Bhaa) nae amejitokeza kuchukua Fomu ya kuomba ridhaa ya kugombania Urais kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM.
Bhaa anafikisha idadi ya Wagombea 22 waliojitokeza kuomba ridhaa ya kugombania Urais wa Zanzibar akiwa yeye ni miongoni mwa Wagombea hao 22.
UPDATES
ZANZIBAR: MGOMBEA AJITOA KWENYE MCHAKATO, ASEMA ANAIPUNGUZIA KAZI CCM
Mgombea Hussein Ibrahim Makungu amejitoa katika mchakato wa kuwania kuteuliwa kugombea Urais wa #Zanzibar kwa kupitia CCM
Amedai amefikia uamuzi huo ili kukipunguzia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kazi ya kuchuja wanachama waliochukua fomu
Hussein anakuwa mgombea wa kwanza aliyeomba ridhaa ya kuteuliwa na chama hicho kugombea Urais kujitoa katika mchakato huo
Bhaa anafikisha idadi ya Wagombea 22 waliojitokeza kuomba ridhaa ya kugombania Urais wa Zanzibar akiwa yeye ni miongoni mwa Wagombea hao 22.
ZANZIBAR: MGOMBEA AJITOA KWENYE MCHAKATO, ASEMA ANAIPUNGUZIA KAZI CCM
Mgombea Hussein Ibrahim Makungu amejitoa katika mchakato wa kuwania kuteuliwa kugombea Urais wa #Zanzibar kwa kupitia CCM
Amedai amefikia uamuzi huo ili kukipunguzia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kazi ya kuchuja wanachama waliochukua fomu
Hussein anakuwa mgombea wa kwanza aliyeomba ridhaa ya kuteuliwa na chama hicho kugombea Urais kujitoa katika mchakato huo