Leo naomba nije na hili battle katika ya Zanzibar na Tanganyika ama kama mnavoojita Tanzania ya sasa.
Hapa tunajadili maendele, hali ya siasa, kiuchumi kiutamaduni, maadili, michezo, viongozi bora kuwahi kutokea na waliopo sasa, wasomi na chochote unachoona kinafaa kulinganishwa.