Prince Dube, muuaji anayetabasamu katika misimu minne aliyokuwa akiitumikia Azam FC alifanikiwa kufunga magoli 34 ndani ya Ligi Kuu 🇹
🗓️ 04 Misimu
⚽️ 34 Mabao
Mwana Mfalme ni mali ya Wananchi
My Take
Dube kapendeza sana jezi ya Yanga
Leo nimelia sana Baada ya kugundua tunaenda kupigwa kitu kizito ( heavy thing) na uongozi wa Simba kuhusu usajili ambappo wanadai wamesajili damu changa ingawa kiuhalisia sio kweli Bali Wana UMRI mkubwa
Mfano;
1. Mukwala - Imeandikwa ana 24 years, ila ukimcheki ni 30's.
2. Mutale - What a joke...
Naona wenzetu Simba wanasajili Kwa umakini.
Mbumbumbu wamejipanga sana
Ona Sasa wamemsajili dogo ambaye kwangu ndo mchezaji Bora mzawa Valentino Mashaka.
Nasikia kesho saa 7 watamtambulisha Najim Musa wa Tabora United
Hawa wangekuwa ni replacement nzuri ya akina NKANE NA SHERHAN
Huko...
Au mnaleta dharau?
Anyways " Engineer means business"
Guede tulikupenda sana lakini ulikosea sana kudemand pesa nyingi mapema kiasi hicho.. Issue yako ilikuwa bado haija mature. Huu ulikuwa ndio Msimu wako wa kurpove kwamba unastahili kulipwa zaidi ya unavyo lipwa.
We wish u all the...
Mkude ada ya usajili na mshahara milioni 300, kacheza mechi tatu msimu mzima.
Okra Milioni 300 kafunga goli moja.
Chama milioni 600
Sina hela lakini nina akili!
===
Pia soma: Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Clatous Chota Chama raia wa Zambia
Shalom shalom
Mimi kama mkono mmoja pasi na kushurutishwa napenda kuitangazia jamuhuri ya watanzania kuwa nairudisha kadi yangu ya Yanga Sc na rasmi sasa hivi nakuwa mshabiki kindakindaki wa wana lunyasi Simba sc.
Umafia unaofanywa na bilionea Mo na C.Magori si wa kitoto. Wachezaji wanaoletwa...
Kuna Timu itegemee Msimu ujao ukianza tu Wachezaji wake wengi kuugua kwakuwa watarogana sana kwa kukufuru.
===
Pia soma: Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Clatous Chota Chama raia wa Zambia
Wachezaji wengine wanaagwa, kwaninini Chama hadi sasa hajaagwa?
Baada ya kuitumikia timu yetu kwa misimu mitatu, Henock Inonga Baka hatokuwa sehemu ya kikosi cha msimu ujao.
Baada ya miaka mitano aliyodumu ndani ya klabu yetu mlinzi wa kati Kennedy Juma hatokuwa sehemu ya kikosi chetu...
Baada ya alfajiri ya Leo Yanga kumtambulisha mchezaji Bora na mkubwa sana clatus Chama.
Sasa Yanga wamehaidi kumtambulisha mchezaji mkubwa.
Tutabiri, je huyo mchezaji ni nani?
Ujio wa Chama utaleta mabadiliko makubwa.
Ni Gamondi mwenyewe kuamua atumie mfumo Gani?
Comb ya PCM , pacome, Chama, Max.
Au kihasibu tuseme Yanga tumefuzu Kwa CPA.
CPA Chama Pacome Aziz ki.
Mbumbumbu Kwa combination hii mtakula za kutosha dadek.
Shukran Kwa Eng Hersi Said.
.yanga bingwa tena.
Words are instrument of creation. Maneno yanaumba.
Kwa muda wa miaka minne mashabiki wa Yanga wamekuwa wakisema " Chama kasajiliwa Yanga, Chama kasajiliwa Yanga"
Hatimaye Chama kasajiliwa Yanga kweli.
Kwa miaka yote hiyo wakati mashabiki wa Yanga wakisema " Chama kasajiliwa Yanga" hawakuwa...
Mimi kama shabiki ndakindaki lia lia wa yanga
Yani tumekosa wachezaji wote tukasajili mzee chama aisee
Tunamengi ya kujifunza kutoka kwa Simba
UBUNTU BOTHO
Udhamini wa manji yanga unaleta maswal mengi sana. Na maswal yanakuja zaidi kwa kuwa wote wamekataa kufikiri wamemwachia manji na akilimali tu.
Manji yeye ni kila kitu. Kwa lolote analotaka linakuwa.akisema flan asiwe mwanachama ghafla mtu huyo anapoteza uanachama. Manji anapofika kwenye kikao...
Salaam Wakuu..
Nashangazwa na hizi kelele za midundiko na kukata viuno tunazopigiwa na wajuaji wa mitaa ya Twiga na Jangwani pale Kariakoo.
Hawa wanashangilia leo kumsajili Chama, yule yule ambaye miaka yote walikuwa wakituaminisha ni mchezaji wa mechi ndogo.
Ina maana huyu Chawa amegeuka...
Yametimia! Sasa tuone kama SSC itakufa au haitafanya vizuri kwa kutokuwepo na Chama.
Nawaambia wapenzi wenzangu wa Simba kuwa sasa tufurahi kwani hakuna tena ubabaishaji eti bila fulani timu haichezi, sasa wasubiri tuone kama SSC haitacheza wala kushinda mataji!
Hongera SSC kwa operation hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.