yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. ngara23

    Simba mmekubali kuingia kwenye huu mtego, Yanga hakuna mgogoro

    Ndo maana ninamkubali Eng Hersi Said. Yaani kaona Usajili wa 5imba ni WA umakini, akaona watatusubua kidogo hatutawapiga magoli mengi. Nawatahadharisha tarehe 8 sio mbali, Mtapigwa 8. Na itakuwa nane nane 1. Jiulizeni mahakama ilitoa hiyo jukumu zamani, kwanini iibuke Leo mechi ikiwa karibu😄😅...
  2. Common Folk

    Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam, imeamuru Uongozi wa Club ya Yanga ukiongozwa na Rais wa Yanga Injinia Hersi Saidi na wenzake, kuachia ngazi na kuondoka kwenye Club hiyo kwakuwa Katiba ya Yanga haitambui uwepo wao. Imedaiwa kuwa uamuzi huu wa Mahakama umekuja baada ya Kundi...
  3. D

    ‘Wahuni’ wanataka kumtoa Hersi kuwa Rais wa Yanga

    Nimeipitia kwa haraka haraka ni kwamba waliofungua shauri (Juma na Mwipopo) walikuwa na hoja KUU 4 ambazo ni; 1. Mahakama iseme bodi ya wadhamini ya Yanga iliyopo madarakani kwa sasa ni batili sababu ipo kwa katiba ambayo sio sahihi. 2. Mahakama iseme kuwa shughuli zote ikiwemo za mihamala...
  4. Its Pancho

    What a sign! Duke Abuya ndiye best sign kwa Yanga

    Bodies of jf, i salute you! Usajili wa yanga kwa wachezaji wapya umesemwa sana sana! Wapo waliosema yanga kwa Chama wamelamba dume, wapo waliosema yanga kwa Dube wamelamba dume! Wapo waliosema kwa Boka tumelamba dume! Lakini kijana mmoja wanamsahau ambaye mimi naona ndiye most dangerous...
  5. U

    Orodha kamili ya wachezaji wa kigeni wa Klabu ya Yanga

    Wadau hamjamboni nyote? Orodha kamili ya wachezaji wakigeni wa Yanga Wachezaji wa kigeni katika klabu ya Yanga msimu 2024/2025 ◉ Djigui Diarra 🇲🇱 ◉ Yao Attohoula Kouassi 🇨🇮 ◉ Chadrack Issaka Boka 🇨🇩 ◉ Khalid Aucho 🇺🇬 ◉ Maxi Mpia Nzengeli 🇨🇩 ◉ Duke Deuces Abuya 🇰🇪 ◉ Pacome Peodoh Zouzoua 🇨🇮...
  6. D

    Ali Kamwe naye kama hajui kinachoendelea Yanga

    If you listen close enough. Ali Kamwe kama ajui kinachoendelea yanga. 1. Pre season vs Augsburg fc Yanga atakipiga na Germany uefa team friendly tarehe ni 20 th July ila sasa Ali Kamwe yupo busy na mechi ya Kaizer Chiefs ajui hata lini team itaenda South Africa for that match. In short...
  7. Gentlemen_

    Yanga yashusha kifaa kipya Usiku huu

    Ni Winga mwenye mapafu ya mbwa... Nasemajeee, Nasemajeee! Watu hawataingiza timu uwanjani..! Mbele Upawa, Nyuma Mwiko
  8. figganigga

    Yanga kupata saini ya Aziz Ki, wamshukuru Mwanadada Hamisa Hassan Mobetto

    Kwa wasio fahamu Msukuma Hamisa Hassan Mobetto, alizaliwa alizaliwa Mwanza, Tanzania, Desemba 10, 1994. Ni mwimbaji, mwigizaji, mfanyabiashara, na mwanamitindo Kumbuka Hamisa ni rafiki Mkubwa wa Aziz Ki japo yanga wanadai ni shemeji yao, mimi sina hizo taarifa. Ninachojua Hamisa ndo alipiga...
  9. Vincenzo Jr

    Aziz Ki bado yupo sana Yanga, asaini mkataba wa kuendelea na klabu hiyo

    Bado tupo nae sana mwamba huyu wale mliokuwa mnasema anaondoka mwamba haondoki na ataendelea kuwapiga mashuti makali sana 😂😁. Mwamba kabakia Yanga SC Cc ephen_ Is here to Stay 🔥 🟡 🟢 Baaasi. Wananchi Ubingwa wa Africa tunao 😂✍️ Pia soma Aziz Ki atua Dar kimafia kumalizana na Yanga, leo...
  10. Mkalukungone Mwamba

    Aziz Ki atua Dar kimafia kumalizana na Yanga, leo kujulikana mbivu na mbichi

    Aziz Ki, amewasili nchini alfajiri ya leo Julai 10, 2024 akitokea mapumzikoni kwao Burkina Faso kwa Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia lakini akatoka kimkakati uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere terminal 3.
  11. GENTAMYCINE

    Tafadhali nauomba Uongozi wa JamiiForums usifute hizi Threads za Posts zote za wana Yanga SC wanaobeza Usajili wa sasa wa Simba SC, kwani hawatoamini

    Yaani wenye Simba SC tumerejea na kuombana Msamaha na kulishana Yamini halafu Msimu ujao isibebe Vikombe?
  12. Nyanda Banka

    Yanga inaendeshwa kihuni

    Na huu ndo uhalisia uliopoi •Matumizi ya Yanga yanatia mashaka kidogo,timu ina ratiba nyingi zisizokuwa na faida ..mfano kugawia supu mashabiki kisa kuifunga simba ni matumizi mabaya ya hela , kubandika mabango ya matokeo mtaani ni gharama za kujitakia mwisho wa siku timu inatumia fedha kuliko...
  13. Erythrocyte

    Andambwile amrithi Aziz Ki Yanga

    Taarifa kutoka Club ya soka ya Yanga inaeleza kwamba, timu hiyo imemsajili Aziz Andambwile ili kumrithi Aziz Ki, anayetajwa kuondoka baada ya mkataba wake kumalizika na huku Yanga ikishindwa masharti ya mkataba mpya, kutokana na umasikini. Tumtakia kila la heri Aziz huyu mpya anayeingia...
  14. Nehemia Kilave

    Je, kwa Usajili waliofanya Yanga ni sahihi kumuachia Azizi Ki?

    Ni wazi kwamba Azizi ki anaelekea South Africa. Je, Yanga wako sahihi kumuacha aondoke au wanakosea?
  15. Revolution 22

    Yanga mnapata wapi nguvu ya kubishana na klabu namba tano Afrika?

    Hivi nyie Utopolo a.ka Gongowazi, mnapataga wapi ujasiri hata wa kubishana tu na watu wa timu namba tano Africa kwa ubora? Level zenu ni Ihefu, Dodoma na KMC, hao ndio mnaweza kubishana nao. Next time tutaongea kwa viboko mkiendelea kumuongelea mnyama mkali Africa.
  16. L

    CPA wa mchongo umeshindwa kweli kushauri Simba iwe na banda lake pale maonyesho ya Saba Saba ili mfanye biashara?

    Hili wazo najua Yanga wataiba mwakani, Simba nawashauri ingawa mnaniudh sana kwa kukosa ubunifu, anzisheni banda lenu pale sabasaba mwakani mtapiga hela sana, mtauza CD za mechi za zamani mlizowapiga yanga, mtauza jezi, soksi, fulana. Mtaweka makombe mashabiki wapige picha, wapelekeni wachezaji...
  17. Kipenzi Changu

    Takwimu za Prince Dube striker mpya wa Yanga

    Prince Dube, muuaji anayetabasamu katika misimu minne aliyokuwa akiitumikia Azam FC alifanikiwa kufunga magoli 34 ndani ya Ligi Kuu 🇹 🗓️ 04 Misimu ⚽️ 34 Mabao Mwana Mfalme ni mali ya Wananchi My Take Dube kapendeza sana jezi ya Yanga
  18. L

    Angalia mwenyewe kosi la Yanga na kosi la Simba, utaamua mwenyewe uende uwanjani au upotezee

    Yanga 1.Diarra 2.Yao 3.Kibabage 4.Bacca 5.Job 6.Aucho 7.Nzengeli 8.Mudathir 9.Dube 10.Aziz Ki 11.Chama Simba 1.Ayoub 2.Kapombe 3.Tshabalala 4.Chamou Karaboue 5.Che Malone 6.Debora Mavambo 7.Mutale 8.Augustine Okejepha 9.Steven Mukwala 10.Jean Charles Ahoua 11.Kibu Denga 😅😅😅
  19. Labani og

    Uchambuzi: Wachezaji wa Simba sio damu changa tazama hapa

    Leo nimelia sana Baada ya kugundua tunaenda kupigwa kitu kizito ( heavy thing) na uongozi wa Simba kuhusu usajili ambappo wanadai wamesajili damu changa ingawa kiuhalisia sio kweli Bali Wana UMRI mkubwa Mfano; 1. Mukwala - Imeandikwa ana 24 years, ila ukimcheki ni 30's. 2. Mutale - What a joke...
  20. ngara23

    Yanga tumelala kipindi hiki cha usajili

    Naona wenzetu Simba wanasajili Kwa umakini. Mbumbumbu wamejipanga sana Ona Sasa wamemsajili dogo ambaye kwangu ndo mchezaji Bora mzawa Valentino Mashaka. Nasikia kesho saa 7 watamtambulisha Najim Musa wa Tabora United Hawa wangekuwa ni replacement nzuri ya akina NKANE NA SHERHAN Huko...
Back
Top Bottom